CHADEMA kushinda uchaguzi 2025

CHADEMA kushinda uchaguzi 2025

Mkuu Chadema itachukua nchi 2025 na hakuna atakayeleta fyokofyoko , hangaya hatogombea (nakung'ata sikio) , Ila wewe hautoshughulikiwa kwa unafiki wako , hivyo ondoa shaka , na wala chadema haitolipa kisasi kwa yeyote
Duh...!. Hili la posibility ya Chief Hangaya kutogombea, hata mimi nililisema
Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!,
Tatizo la huku bara ni hatuna kabisa, any credible opposition.
P
 
  • Thanks
Reactions: Tui
ila Zanzibar alikoingia Zitto ndio kunaaminika siyo , labda kama unatania
Kwa Zanzibar, CUF was a credible opposition, na kiukweli kila uchaguzi walikuwa wanashinda lakini hawapewi kwa sababu...
P
 
Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita, sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.

Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.

Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.

CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Mkuu kimya kimya....
 
Kwa Zanzibar, CUF was a credible opposition, na kiukweli kila uchaguzi walikuwa wanashinda lakini hawapewi kwa sababu...
P

Nimecheka kwa nguvu, kweli umri ni tatizo. Bado una hizi porojo bro?!
 
Kwa mtazamo wangu, CDM walishinda 2010, 2015 na 2020..... Ila hawakupewa nchi. Tatizo siyo kushinda bali kupewa nchi.... Same as Zanzibar. Hiyo walioko ndani wanajua including CDM wenyewe. Refer interview ya Babu Duni uchaguzi wa 2015.
Rubbish, saccos walishindia wapi?.
 
CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi huo lakini haitashika dola, SAMIA tayari ameshaonja utamu wa keki ya Taifa, uchaguzi ukikaribia tu utamwaga vijipesa kwa watumishi wa umma haswa ile kada simamizi na wengine wengi watakao husika kwenye uchaguzi, mchezo utaishia hapo. Hivyo hizo ni ndoto ambazo haziwezi kutimia kwa urahisi.
 
Duh...!. Hili la posibility ya Chief Hangaya kutogombea, hata mimi nililisema
Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!,
Tatizo la huku bara ni hatuna kabisa, any credible opposition.
P
Katika hili bandiko kuna sehemu umesema Rais hupangwa na Mungu. Lakini bado unaamini kuwa Tanzania upinzani ni dhaifu. Hapa kwa akili yangu ya darasa la saba A ninashindwa kukuelewa.
 
CHADEMA inaweza kushinda uchaguzi huo lakini haitashika dola, SAMIA tayari ameshaonja utamu wa keki ya Taifa, uchaguzi ukikaribia tu utamwaga vijipesa kwa watumishi wa umma haswa ile kada simamizi na wengine wengi watakao husika kwenye uchaguzi, mchezo utaishia hapo. Hivyo hizo ni ndoto ambazo haziwezi kutimia kwa urahisi.
My dear kama ulisoma Things Fall Apart utaelewa kuwa now is No Longer at Easy.
 
Safari hii watapewa, kinachotakiwa ni wananchi kupiga kura nyingi kwa Cdm mpaka wezi wa kura waone aibu
Wapambanie kuwapata wabunge na madiwani kwa wingi kazi kubwa ianzie bungeni.
 
Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita, sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.

Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.

Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.

CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Ni kweli uliyoyasema kwa 100% BUT CCM huenda akashinda kwa sababu ya tecnichal issue zifuatazo
1. Tume ya taifa ya uchaguzi ikisaidiwa na polisi, jeshi, Tiss, Takukuru etc
2. CHADEMA inakubalika lakini haiko in touch na common people, au haiwatambui au haiwaoni kama ni wa muhimu kwao. Eg CCM inawasiliana na wanachama wao kwa njia nyingi ikiwemo text meseji. Kwa CHADEMA mkisha changa kumlipia mtu faini au dharura yoyote ndio imetoka hiyo. Hawakumbuki hata kumshukuru kwa meseji, Hawaweki kumbukumbu, wala hawana register ya watu ambao wamewasaidia. Na hata hii Join the chain hawajishuhulishi kuwafahamu waliowachangia na kubuni njia ya kuwaretain kupitia mawasiliano mawasiliano ya mara kwa mara. Kama CCM au TRA inaweza andika meseji ikawafikia wafanyabiashara wote CHADEMA wanashindwa nini?
3. Wakati kwa CCM any person is valuable resource, na wanapokea taarifa na ushauri wowote utakaowawezesha kushinda, CHADEMA hakuna ushauri wanaopokea unless umetolewa na maprofesa au viongozi wa juu kabisa.
 
Mkuu mzyond , kiukweli, kuota ndoto za matumaini hewa ya mchana kweupe, rukhsa.
Endelea kuota!.

Usikute hao wasiomkubali Mama Samia, ni wale ambao, hawajiandikishagi kupiga kura, na wakijiandikisha ili tuu kupata kitambulisho, huwa hawapigi kura!.

Chadema ipi hiyo unayoizungumzia ya kuiondoa CCM?.
Ni Chadema ipi?
Ni Chadema hii HAPA!.
Au Chadema hii HAPA!
Au Chadema hii HAPA!.
Kiukweli kabisa, kwa Chadema hii, CCM itatawala milele!.
P
Nasikia umeitwa ukapewe utendaji kata wa Elia Fanuel kule Ngara...
 
Unaongelea chadema ipi? Ni hii saccos inayojulikana kwa jina la chaga development manifesto au ipi? Hata ipigiwe kura na wachaga wote duniani haitoboi, CCM kitabaki kuwa chama bora si tu hapa Tz bali Afrika nzima.
 
Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita,

Sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.

Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.

Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.

CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Kwa katiba ipi? Labda katiba ya URUSI
 
Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita,

Sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Joseph Magufuli ambaye wakati wa uongozi wake alijijenga yeye badala ya kuimarisha taasisi za Chama na Serikali yeye akawa ndiye Halfa na Omega kwenye Chama na Serikali.

Baada ya kifo chake wananchi wengi hawamuamini Rais Samia kutokana na uongozi wake kuwa shirikishi tofauti na mtangulizi wake ambaye alikuwa anaongoza nchi kibabe na kuwabana matajiri na wananchi wengi walitafsiri ubabe huo kuwa ndio uthabiti wa kiongozi.

Utafiti mdogo niliofanya unaonesha kati wa wananchi 10, wananchi 8 hawamkubali Mama Samia, Sasa CCM itashindaje uchaguzi.

CHADEMA jipangeni vizuri 2025 mtaingia Ikulu.
Kushinda ni kitu tofauti kabisa na Kutangazwa.

Maana kama ni kushinda basi CDM imekuwa ikishinda mara nyingi tu.
 
Ni haki ya kila mmoja wetu kuota ndoto tamu sana
 
Back
Top Bottom