Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,213
- 128,967
Duh...!. Hili la posibility ya Chief Hangaya kutogombea, hata mimi nililisemaMkuu Chadema itachukua nchi 2025 na hakuna atakayeleta fyokofyoko , hangaya hatogombea (nakung'ata sikio) , Ila wewe hautoshughulikiwa kwa unafiki wako , hivyo ondoa shaka , na wala chadema haitolipa kisasi kwa yeyote
Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!,
Tatizo la huku bara ni hatuna kabisa, any credible opposition.
P