Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
- Thread starter
- #41
Mkuu aindae kabisa kamba ya kujinyonga maana Ushindi wa CDM ni 80%
CDM kushinda Arumeru ni sawa sawa Marekani kuamishia ubalozi wake Singida.
Mkuu aindae kabisa kamba ya kujinyonga maana Ushindi wa CDM ni 80%
cameroon@work
CDM kushinda Arumeru ni sawa sawa Marekani kuamishia ubalozi wake Singida.
Hee kwani kujinyonga kwako kunatuhusu nini?Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
RIP in advance Rev Robinson!Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Namshangaa huyu magamba, aende akawaachie usia walomzaa, sie akuu wala haituhusu... Tunamjulia wapi huyu?Hee kwani kujinyonga kwako kunatuhusu nini?
We jinyonge tu hata sasa hivi....kwani tunakujua?
Haukujui mtu na hakuna mwenye haja ya kujua watu kama wewe....kufa tu tena hata sasa hivi
Hee kwani kujinyonga kwako kunatuhusu nini?
We jinyonge tu hata sasa hivi....kwani tunakujua?
Haukujui mtu na hakuna mwenye haja ya kujua watu kama wewe....kufa tu tena hata sasa hivi
Namshangaa huyu magamba, aende akawaachie usia walomzaa, sie akuu wala haituhusu... Tunamjulia wapi huyu?
Wewe kwani nani anakujua? Sasa unakasirika nini! Narudia tena kesho CDM wakishinda najinyonga, endelea kuchukia kwani mimi ndiyo nimekuambia uvae magwanda.
Mods tafadhali hii Id ya chatu dume ifute maana kwa matokeo ya jana atakuwa kesha jinyonga tayari.Ahadi ni deni na muungwana lazima atimize.Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Wewe kwani nani anakujua? Sasa unakasirika nini! Narudia tena kesho CDM wakishinda najinyonga, endelea kuchukia kwani mimi ndiyo nimekuambia uvae magwanda.
RIP chatu dume!Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Chadema wakishinda kesho me najinyonga na kitanzi cha kudu mpaka nakufa.
Ahadi yangu wewe kinakuuma nini me tajinyonga Chadema wakishinda Arumeru. Period.
Ni rahisi mende kuangusha kabati ila si CDM kushinda...
Kijana mods wafanye kazi gani? mimi binafsi na uhuru wangu wakuamua mambo yangu, wewe kinakuuma nini? Kesho tajinyonga Chadema wakishinda.