Chadema kushinda Arumeru ni ndoto za jioni

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
 
hizo hoja zatoka wapi? hivi kesho mtu anaamka tu na kusema TLP itashinda, then inasaidia nini? au mnadha wameru wanaangalia hayo tunayoweka hapa?
 
Kwa nini hiyo ahadi uchwara yako usikae nayo moyoni mwako? au ungeipeleka Facebook?. Mods fanyeni kazi yenu.

Kijana mods wafanye kazi gani? mimi binafsi na uhuru wangu wakuamua mambo yangu, wewe kinakuuma nini? Kesho tajinyonga Chadema wakishinda.
 
Back
Top Bottom