Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Kanawe uso uondoe hizo tongotongo.Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Hii ni thread ya kuwatafutia watu BAN. Mods ondoeni huu mzoga.
Hii ni thread ya kuwatafutia watu BAN. Mods ondoeni huu mzoga.
sure nilikuwa nimejiandaa kumporomoshea hapa nikasita nikajua nitakula ban..
matusi peleka kwenu sio hapa
Nina hofu wee utanisababishia ban!
Nimeshagutuka!
Kwa nini hiyo ahadi uchwara yako usikae nayo moyoni mwako? au ungeipeleka Facebook?. Mods fanyeni kazi yenu.Ahadi yangu wewe kinakuuma nini me tajinyonga Chadema wakishinda Arumeru. Period.
Hata mi ccm wakishinda najinyonga mpaka kufa
matusi peleka kwenu sio hapa
Kwa nini hiyo ahadi uchwara yako usikae nayo moyoni mwako? au ungeipeleka Facebook?. Mods fanyeni kazi yenu.