Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Arusha tutashinda kwa garama yoyote. Kumbukeni Arumeru tuliwaachia kwasababu tunazozifahamu sisi. Am hapy mmeanza kujitambua
You will never unless people decide to grant you the constituent.
Arusha tutashinda kwa garama yoyote. Kumbukeni Arumeru tuliwaachia kwasababu tunazozifahamu sisi. Am hapy mmeanza kujitambua
Stay tune....Arusha siyo igunga.
Kuna uhusiano gani kati ya sabodo na mbowe? (au ndio ile biashara ya yetu haram)
Naona anatumia sana jina la mwalimu nyerere kuna nini?
Wanategemea "Kura Kutoka Vijijini"
Nadhani pale sio Mwenge ni Mikocheni...angalizo Chadema kuweni makini kuna baadhi ya vitu chama kinatakiwa kufanya kwa nguvu zake, siku Sabado hakiwa hayupo familia yake wakalitaka jengo lao itakuwaje?
ofcourse, naona mzee sabodo ameamua kufa kifo chema, sadaka zako mungu anaziona.
Wenzie wazee kuliko yeye wanaendelea kuiba eti za wajukuu.
Kwani Arumeru kulikuwa hakuna vijiji?
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mustafa Sabodo, amesema anafanya mazungumzo na wataalamu wake kuangalia uwezekano wa kuipatia CHADEMA jengo lake la kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, liliko eneo la Mwenge (ITV), Dar es Salaam ili wafanye ofisi ya kisasa.
Akimshukuru mfanyabiashara huyo kwa msaada wa jengo hilo na kiwanja, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willbrod Slaa, alisema pamoja na msaada wa sh milioni 100 waliopewa watatumia sehemu yake katika matengenezo ya ofisi hizo, na sehemu nyingine kuingizwa katika mfuko wa CHADEMA Movement for Change (M4C) uliozinduliwa hivi karibuni.
Source: Tanzania Daima.
MY TAKE: Asante Sabodo na Hongera Chadema kwa kupata ofisi mpya, matarajio yangu mtaitumia hiyo ofisi kama chachu ya maendeleo ya chama na wananchi kwa ujumla.
Hayakuusu wacha kiherehere kakaIla one thing sijapenda, Dr Slaa anasema 'watatumia sehemu ya 100m kwa matengenezo ya hiyo ofisi'! Kwani walijua watapewa mshiko na ofisi? Nini mipango ya CDM kuwa ofisi kabla ya mchango wa Sabodo?
Na zile kura elfu 22 na ushee za CDM Igunga zilitoka mjini?
Nadhani pale sio Mwenge ni Mikocheni...angalizo Chadema kuweni makini kuna baadhi ya vitu chama kinatakiwa kufanya kwa nguvu zake, siku Sabado hakiwa hayupo familia yake wakalitaka jengo lao itakuwaje?
Stay tune....Arusha siyo igunga.
wahindi au muhindi mmoja kichaa!wahindi wanaonyesha kuguswa na chadema kwa sababu?????wamesoma alama za nyakati??wameshaona ccm kwaheri????hizo hela ni zetu anyway!wape na nccr wape na cuf'wahindi wanatumia sehemu kubwa ya brain kufikiri
Nadhani pale sio Mwenge ni Mikocheni...angalizo Chadema kuweni makini kuna baadhi ya vitu chama kinatakiwa kufanya kwa nguvu zake, siku Sabado hakiwa hayupo familia yake wakalitaka jengo lao itakuwaje?
Naona sasa CDM wanaanza kujitambua.