mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Thank you MJ Sabodo for your support for M4C and peoples power. May God bless you!!
Ndg yangu naona hajui jipe moyoHata Tarime ilikuaga hivyo hivyo..................
Kuna sehemu ilikua ngumu kama Tarime kwa ccm????????????????????????????????????
Jiulize leo iko wapi?
Arusha tutashinda kwa garama yoyote. Kumbukeni Arumeru tuliwaachia kwasababu tunazozifahamu sisi. Am hapy mmeanza kujitambua
Mbona wewe tumeshakuzoea maneno yako huwa ni ya kishabiki tu huwa hayabebi maana yeyote.Arusha tutashinda kwa garama yoyote. Kumbukeni Arumeru tuliwaachia kwasababu tunazozifahamu sisi. Am hapy mmeanza kujitambua
Mbona wewe tumeshakuzoea maneno yako huwa ni ya kishabiki tu huwa hayabebi maana yeyote.
Kuna uhusiano gani kati ya sabodo na mbowe? (au ndio ile biashara ya yetu haram)
Naona anatumia sana jina la mwalimu nyerere kuna nini?
mkuu rejao,
emu tabiri kabisa. Arusha mtashinda kwa asilimia ngapi??
Nadhani pale sio Mwenge ni Mikocheni...angalizo Chadema kuweni makini kuna baadhi ya vitu chama kinatakiwa kufanya kwa nguvu zake, siku Sabado hakiwa hayupo familia yake wakalitaka jengo lao itakuwaje?
Ila one thing sijapenda, Dr Slaa anasema 'watatumia sehemu ya 100m kwa matengenezo ya hiyo ofisi'! Kwani walijua watapewa mshiko na ofisi? Nini mipango ya CDM kuwa ofisi kabla ya mchango wa Sabodo?
Haha haha haha ha ha! Mkuu TUNTE. Naskia ulikasirika sana uliposkia CHADEMA imeshinda Arumeru. Vipi ile kazi yako uliyokuwa unafanya? Imeisha au? Msalimie TII, PAA, MTUKWAO na MWANAHALIS. Vipi upo na Mchange na Ben hapo?
Mkuu usisahau Mzee Sabodo si kwamba ana Mapenzi na Chadema ila ana Mapenzi makubwa na watanzania na ameona Chadema ndiyo njia muafaka kwa yeye kufikisha misaada yake kwa Watanzania, baada ya kuona wajanja wa CCM kila mara akitoa pesa wanakula wao na famila au na mafisadi wenzao .Kweli Mustafa Sabodo Jembe dah! Nimemkubali sana kwa mapenzi aliyo nayo kwa chadema!