EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mustafa Sabodo, amesema anafanya mazungumzo na wataalamu wake kuangalia uwezekano wa kuipatia CHADEMA jengo lake la kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, liliko eneo la Mwenge (ITV), Dar es Salaam ili wafanye ofisi ya kisasa.
Akimshukuru mfanyabiashara huyo kwa msaada wa jengo hilo na kiwanja, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willbrod Slaa, alisema pamoja na msaada wa sh milioni 100 waliopewa watatumia sehemu yake katika matengenezo ya ofisi hizo, na sehemu nyingine kuingizwa katika mfuko wa ‘CHADEMA Movement for Change' (M4C) uliozinduliwa hivi karibuni.
Source: Tanzania Daima.
MY TAKE: Asante Sabodo na Hongera Chadema kwa kupata ofisi mpya, matarajio yangu mtaitumia hiyo ofisi kama chachu ya maendeleo ya chama na wananchi kwa ujumla.
Akimshukuru mfanyabiashara huyo kwa msaada wa jengo hilo na kiwanja, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willbrod Slaa, alisema pamoja na msaada wa sh milioni 100 waliopewa watatumia sehemu yake katika matengenezo ya ofisi hizo, na sehemu nyingine kuingizwa katika mfuko wa ‘CHADEMA Movement for Change' (M4C) uliozinduliwa hivi karibuni.
Source: Tanzania Daima.
MY TAKE: Asante Sabodo na Hongera Chadema kwa kupata ofisi mpya, matarajio yangu mtaitumia hiyo ofisi kama chachu ya maendeleo ya chama na wananchi kwa ujumla.