Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,855
Hivi unapomtukana ndio unajiona mbabe fulani hivi?Joyce Mukya umeliwa na gaidi kwa ahadi ya ubunge ,tulia hivyo hivyo na mishahawa ya gaidi ubunge hutaupata safari hii
Amandla...
Hivi unapomtukana ndio unajiona mbabe fulani hivi?Joyce Mukya umeliwa na gaidi kwa ahadi ya ubunge ,tulia hivyo hivyo na mishahawa ya gaidi ubunge hutaupata safari hii
Hawajali hata wakipigwa ban kwa vile wana ID nyingi mnoHivi unapomtukana ndio unajiona mbabe fulani hivi?
Amandla...
Kama ni hayo mawili tu unayotaka toka kwa CHADEMA, basi hawana lazima ya kuwaondoa CCM madarakani, wewe zungumza na hao rafiki zako wa CCM wawaachie CHADEMA wayaendeshe maeneo yako hayo mawili, basi.nitawasikiliza kama wakinionesha jinsi kilivyowauma kushindwa kwa taifa star uwanja wa nyumbani. nitawasikiliza tuu iwapo watapigania kiingereza kirudishwe mashuleni maana hata Royal Tour haikufanyika kwa kiswahili bali kiingereza. nawadai hayo mawili tuu.Chadema ongereeni na sports basi maana sports nayo huitangaza sana nchi, . Brazil imevuma duniani kwa ajili ya soccer. msiwe mnalalamika tuu fikilieni hii entartainment ya soccer nayo mtaifufuaje kimataifa? piganieni turudishe rugha yetu ya commonwealth iwe haki ya raia jamani. aliyetufutia kafa sasa tunangoja nini kuirudisha lugha ya Elizabeth mashuleni?
Katiba yao tu wanashindwa kuifuata ya nchi wataiweza? bado sana.Kama ni hayo mawili tu unayotaka toka kwa CHADEMA, basi hawana lazima ya kuwaondoa CCM madarakani, wewe zungumza na hao rafiki zako wa CCM wawaachie CHADEMA wayaendeshe maeneo yako hayo mawili, basi.
Nani "anafuata katiba ya nchi mkuu, CCM"? Hivi CCM wana katiba?Katiba yao tu wanashindwa kuifuata ya nchi wataiweza? bado sana.
Huyo mama yenu hakosei, kwenu kila kosa mnamtupia marehemu, sasa kama hawezi kuongoza nchi kwa mawazo yako mwenyewe ikulu anafanya nini?Busara na amani vitawale,maneno ya kukera yaepukwe wakati wa kufikisha ujumbe.Mama SSH anahujumiwa na wanachama wenzake,awe makini wakati kupendekeza wakuu wa mihimili mengine,timu Magu, wanafanya kila njia kukuharibia ,Wana agenda zao
Jenga hoja, a ha matusi. Basi Kama Ni mazuri nawe Mama yako mbonà naye analiwa na machokoraa mtaaniJoyce Mukya umeliwa na gaidi kwa ahadi ya ubunge ,tulia hivyo hivyo na mishahawa ya gaidi ubunge hutaupata safari hii
Mungu ibariki CHADEMAHii ndio Taarifa ya Dharula ya sasa inayosambazwa na Chama hicho , kwamba viongozi wa Juu Kabisa wa Chadema wataongea na Waandishi wa Habari wa Dunia nzima tarehe 17/05/2022 , saa 5 Asubuhi , kwenye Makao Makuu ya Chama hicho yaliyo Nje ya Jiji la Dar es Salaam, Kinondoni Mtaa wa Ufipa .
Mpaka sasa haijulikani kipi kitakachozungumzwa na viongozi hao bali kinachoonekana ni Kuimarishwa kwa Ulinzi kwenye makao makuu ya Chama kwa kuongezwa Walinzi wa Chama kusiko kwa Kawaida.
Wote Mnakaribishwa.
Mod keshatembea naye tayariMatusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kujiliwaza
msaliti hatakiwi kusavaivu. By JPMCDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
CHADEMA walishamaliza kazi yao.. Endeleeni kuhangaikaViongozi wa Chadema wanataka kuwang'oa kina Halima Mdee wapeleke michepuko mipya
Maneno mazito yenye ukweli ndani yake!! Nilikuwa najiuliza kila siku hivi wachawi wanapata faida gani kusumbua watu ??!! Leo nimepata jibu !! Shukran !!!Matusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kujiliwaza
AminaMungu ibariki CHADEMA