Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
Kwani baada ya Magufuli kufa viatu vimekuaje kwa Chifu Mwakatozo.?!
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani baada ya Magufuli kufa viatu vimekuaje kwa Chifu Mwakatozo.?!
Hamna uwezo wa kumlazimisha CHIFU MKUU WA MACHIFU NCHINI....🤣🤣Kwani baada ya Magufuli kufa viatu vimekuaje kwa Chifu Mwakatozo.?!
🤣🤣🤣🤣🤣
Wanajifanya kucheka na magwanda yao lakini kuna mmoja hapo anatuhumiwa kwa kesi ya ugaidi hivi sasa.
🤣🤣Wanajifanya kucheka na magwanda yao lakini kuna mmoja hapo anatuhumiwa kwa kesi ya ugaidi hivi sasa.
Tuanze humuhumu tu mkuuWaulize polisi
Nani kakwambia wanamlazimisha, aache kulia lia sasa, Chifu Hangaya vipi tenaHamna uwezo wa kumlazimisha CHIFU MKUU WA MACHIFU NCHINI....🤣🤣
Akitaka atawaita kwa muda wake......
....na matendo yenu Chadema...🤣Nani kakwambia wanamlazimisha, aache kulia lia sasa, Chifu Hangaya vipi tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe mwanamke umerudi?Njaa imekurudisha ulikuwa umepitea.Kwa kuwa CHADEMA kila siku huita waandishi wa habari kuongea naomba jina la CHADEMA libadilishwe liwe CHADOMA
Yaana kirefu CHAMA CHA DOMOKAYA NA MANENO (CHADOMA)
Lumumba ni sehemu ya ITIKADI....kuilinda itikadi ni maagano....na maagano si kulamba miguu bwashee.....Huwezi kunafananisha hata kidogo na walamba miguu wa Lumumba.
Chadema ni waongo sana. Nia yao ni kutaka chai ya Ikulu tu hawana lolote.Nia na lengo letu la kuonana na Rais Samia sio kwenda kumueleza mambo yetu binafsi, bali mambo mbalimbali ya kuendesha Nchi yetu vizuri, na tuko tayari kwa mazungumzo na Rais, lakini hatuko tayari kukutana na Msajili"
....wazee wenyewe wa CHAI ni hawa hapa....hebu waangalie 🤣🤣Chadema ni waongo sana. Nia yao ni kutaka chai ya Ikulu tu hawana lolote.
Ndio Maana rais Kikwete alipowaalika wakanywa chai, kashata na katlesi za ikulu bila kuongea ya maana watu wakaamua kuwapuuza.
Chadema walisema watamnyoa mama, wembe ule ule uliomnyoa mtangulizi wake ndio watautumia kumnyoa Mama, hivyo mamlaka lazima zichukue tahadhari na zimlinde raid wetu mpendwa na wahuni hawa.
Hata hivyo, rais ana mambo mengi sana ya kufanya na ratiba yake imejaa kwa sasa. Mambo yakitulia basi watafikiriwa.
😍Chadema ni waongo sana. Nia yao ni kutaka chai ya Ikulu tu hawana lolote.
Ndio Maana rais Kikwete alipowaalika wakanywa chai, kashata na katlesi za ikulu bila kuongea ya maana watu wakaamua kuwapuuza.
Chadema walisema watamnyoa mama, wembe ule ule uliomnyoa mtangulizi wake ndio watautumia kumnyoa Mama, hivyo mamlaka lazima zichukue tahadhari na zimlinde raid wetu mpendwa na wahuni hawa.
Hata hivyo, rais ana mambo mengi sana ya kufanya na ratiba yake imejaa kwa sasa. Mambo yakitulia basi watafikiriwa.
Hawa jamaa bhana. Shida yao ni wafike na Ikulu ya Dodoma wakatie hasara hahaahahah....wazee wenyewe wa CHAI ni hawa hapa....hebu waangalie 🤣🤣View attachment 1971455
🤣🤣Hawa jamaa bhana. Shida yao ni wafike na Ikulu ya Dodoma wakatie hasara hahaahahah
Nani alimwambia Benson kwamba Mama hajakutana na wanasiasa???? Mpo dunia gani ndugu zetu??"Mwezi April Mwenyekiti Freeman Mbowe alimuandikia barua Rais Samia ya kuhitaji kukutana naye, Rais Samia amekutana na makundi mbalimbali ila kundi la Wanasiasa bado, tuna imani ya kukutana naye tumweleze mambo yanayosababisha ufa kwenye Taifa hili"
Chawa hawana ujanjaWewe mwanamke umerudi?Njaa imekurudisha ulikuwa umepitea.
7000/- kwa siku ni nyingi.
Haifuti uchawa wako kwa familia ya Mbowe na Rodney.....Chawa hawana ujanja
Mimi ni mfanyabiashara wa kimataifa , ni mtu mwenye hela nyingi , au Tajiri kwa lugha ya kikwenu , namiliki viwanda kadhaa na nimeajiri watanzania wenzako zaidi ya 350 nchi nzima , masikini wenzio wote wanajua , sijawahi kuwa chawa wa mtu , fuatilia habari zangu hapa jf au waulize wenzako , kupambana na mimi hutoweza hata waliokutuma wanafahamu , ila wamekusakizia tu kwa vile wanakupa posho , zaidi utakimbia kama mamluki wenzako walivyokimbiaHaifuti uchawa wako kwa familia ya Mbowe na Rodney.....
🤣🤣🤣Ha ha ha chawa wa Mbowe na tajiri wa JF ha ha haMimi ni mfanyabiashara wa kimataifa , ni mtu mwenye hela nyingi , au Tajiri kwa lugha ya kikwenu , namiliki viwanda kadhaa na nimeajiri watanzania wenzako zaidi ya 350 nchi nzima , masikini wenzio wote wanajua , sijawahi kuwa chawa wa mtu , fuatilia habari zangu hapa jf au waulize wenzako , kupambana na mimi hutoweza hata waliokutuma wanafahamu , ila wamekusakizia tu kwa vile wanakupa posho , zaidi utakimbia kama mamluki wenzako walivyokimbia