Chadema Kunani?

I believe, I can be good politician but I hate to be there due to I CAN'T SPEAK THEIR LANGUAGE.....
 
Mwulize Lissu nani alibadili tamko la ushirikiano wa vyama lisomeke
tunakusudia kuunganisha nguvu zetu (tr.10/5/2007), badala ya sentensi ya awali iliyosema tunakusudia kuunganisha vyama vyetu kama ilivyokuwa imeandikwa na vyama hivyo tr 9/5/2007

pili, mwulize Mbowe kwa nini alitamka katika mkutano mkuu wa chadema mwaka 2005 kwamba hawatakaa waunge mkono au washirikiane na chama chochote kingine, watasimama wenyewe ,paka kieleweke

tatu, mwulize makamu mwenyekiti, hasira aliyokuwa nayo siku ushirikiano ulipotangazwa kama imempoa, na hata matamshi yake ya juzi kwamba CUF kivyao

nne, waulize wenyeji wa mkoa wa kigoma jinsi chadema inavyoshawishi wanachama wa vyama vilivyoko katika ushirikiano waame vyama hivyo wajiunge na chadema kinyume cha makubaliano yaliyopo

ukipata majibu hayo ya angalau, nitakupa nyeti zaidi

Mimi kwa maoni yangu hapa ili tuweze kukata mzizi wa fitina na ili tuendelee na mjadala huu ningeomba kupewa tafsiri ya "Kuunganisha nguvu" badala ya "kuunganisha vyama"

Nina imani kuwa kama Lissu akija hapa anaweza kutoa ufafanuzi mzuri tu.

Hii ni kwasababu ukisema vyama peke yake huku tukikiri kuwa kuna vile ambavyo havina nguvu kabisa then haitakuwa tena kuunganisha nguvu bali kuingiza udhaifu!

Na ili kuepuka hilo ni lazima kuwe na mjadala hapa wa kuweza kueleweshana ili uunganishwaji wa nguvu hizo uwe na maridhiano yenye nguvu kutoka kwa pande zote husika!

Na vile vyama ambavyo inasemekana kuwa ni dahifu kutokana na viwango vilivyowekwa kama wingi wa wanachama pamoja na wabunge then nao wapewe majukumu pamoja na guarantee ya a piece of pie kimajukumu mara baada ya ushindi kutegemea na role waliyoiplay wakati wa kampeni.

Ni muhimu sana kwa vyama vya upunzani kuja pamoja wakati huu!
Ni ngumu kukubaliana kwa kila kitu na hivyo ni lazima tukubali kuwa kutakuwa na sacrifices kwa pande zote!
 
Halafu jambo jigine wanasiasa wa Tanzania hawaweki maanani ni kufuata matakwa ya wananchi!

Ninashangaa sana kuona mijadala ya namna za kuungana haizingatii matakwa ya wananchi!

Ni lazima mukae chini sasa hivi halafu mujiulize kuwa wananchi wanataka nini.
Then base on the findings ndio mnafikia makubaliano!

Findings ambazo ziko obvious pamoja na mambo mengine at the current moment ni issue ya ufisadi.(ni lazima mubuild around hii issue coz ndio imo kwenye mawazo ya wapiga kura)
Mu capitalize on kwenye hiyo issue ambayo ndio the main citizens concern!

Findings nyingine ni mahusiano ya huko visiwani!
Mukae chini na CUF kwenye hilo na sijui kama no. 1 wana role gani hapo!
Ila maoni ya wananchi pamoja na mapendekezo yenu kwa wananchi ya namna mnavyopanga kudeal na issue ya Zanzibar pia kunaweza kuwapatia kura pande zote za bara na visiwani kwani sasa wananchi wamechoshwa na huu mgogoro!

Kaeni chini muje na mpango mbadala ambao uta stimulate ushiriki wa wananchi kwa kuzungumza yale ambayo wao wanayaona kuwa ndio chanzo cha matatizo, umasikini, maradhi, njaa na yale yote yanayowakabili kwenye maisha yao ya kila siku na bila kusahau mgogoro wa visiwani ambapo watu wameshapoteza maisha yao kwa sababu yake.

Na muwaonyeshe direct link kati ya ufisadi na matatizo yao!

Direct link kati ya matatizo yao na mazoea yao ya upigaji kura!

Direct link kati ya utengano, ubaguzi, chuki na migogoro.

Na kwasababu muda ni mfupi..Then msi waste time!

Ni lazima mjue kuwa kama mkiipoteza ile excitment ya wananchi....Then msishangae wakirudi CCM!
 
Vyama vya upinzani kaeni chini wekeni mikakati mbinu, elewaneni then pangianeni majukumu.
Muda uliobaki ni mfupi sana na pia nashangaa kwanini hakuna sense of urgency!?
 
Halafu ndugu zangu nina concern moja.
Mimi mwenyewe binafsi ni supporter wa muungano!
Ila nakubali unahitaji marekebisho!
Matengano hayana nafasi!
Hivyo chama cha CUF ni lazima waje na sera ambayo haitawasababishia kukosa kura kutoka upande wa bara.
Kwasababu naamini licha ya kuwa wengi wetu tunasema muungano uangaliwe..Sio wengi wetu wenye kutaka tutengane moja kwa moja!
Hivyo basi kama CUF wakiwa hawana sera safi hapa then upinzani inabidi muingie ubia na CCM huko Visiwani!?
Je hilo linawezekana?
Je linaepukika kama lina wezekana?
How are you guys going to deal with the union issue?
Issue ya Zanzibar inaweza kuwasaidia # 1 kama msipokuwa aware!
Na wao wanajua hilo na wameshaanza namna namna!
Issue ya zenji inaweza ikawa single issue yenye kudecide uchaguzi mkuu ujao together with ufisadi.
Tuelezeni msimamo wenu kuhusu Zenji!
 
Mimi kwa maoni yangu hapa ili tuweze kukata mzizi wa fitina na ili tuendelee na mjadala huu ningeomba kupewa tafsiri ya "Kuunganisha nguvu" badala ya "kuunganisha vyama"

Nina imani kuwa kama Lissu akija hapa anaweza kutoa ufafanuzi mzuri tu.

Hii ni kwasababu ukisema vyama peke yake huku tukikiri kuwa kuna vile ambavyo havina nguvu kabisa then haitakuwa tena kuunganisha nguvu bali kuingiza udhaifu!

Na ili kuepuka hilo ni lazima kuwe na mjadala hapa wa kuweza kueleweshana ili uunganishwaji wa nguvu hizo uwe na maridhiano yenye nguvu kutoka kwa pande zote husika!

Na vile vyama ambavyo inasemekana kuwa ni dahifu kutokana na viwango vilivyowekwa kama wingi wa wanachama pamoja na wabunge then nao wapewe majukumu pamoja na guarantee ya a piece of pie kimajukumu mara baada ya ushindi kutegemea na role waliyoiplay wakati wa kampeni.

Ni muhimu sana kwa vyama vya upunzani kuja pamoja wakati huu!
Ni ngumu kukubaliana kwa kila kitu na hivyo ni lazima tukubali kuwa kutakuwa na sacrifices kwa pande zote!

Mushi, lengo la vyama hivi vinne lilikuwa kuungana kuunda chama kimoja cha siasa, na ndipo wakadraft katika tamko lao lengo hilo, sasa ili kuepuka kujicommit ndipo mjanja aka-edit tamko hilo. kuunganisha nguvu ni kushirikiana tu, kuunganisha vyama ni kuwa na chama kimoja badala ya vinne.
 
mushi pole pole mkuu, naona unataka kugeuka wale wazungu wanaowaita "the people who likes to listen to their own voices"

wewe hujaleta hoja, umeleta masuala. na unataka kuchota idea za watu bila ya wewe kuwa na yako hata moja. huna stance wala opinion lakini umeshika kusema "mjadala uendelee". uendelee kwa vipi?

mada yako haina hata skeleton, usitegemee watu kujazia nyama.
 
Waridi,
Tunajaribu kuangalia chama chenye uhai na wala si wingi wa vyama, chadema kina mwelekeo na ndiyo maana watanzania wanataka kuwekeza kura zao huko 2010, ndicho chama chenye mtizamo chanya, japo bado kuna changamoto ndani ya chama hiki, nadhani ni wakati muafaka wa chama hiki kujisahihisha ili 2010 kipate kuongeza idadi ya MP na mwisho wa siku ndoto zao zitatimu.
 
Binafsi naamini kuwa chadema kina sera nzuri tu, sawa na vyama vingine, pia naamini kuwa chadema kuna VIONGOZI IMARA, pia kuna undelezaji wa vijana kwa nia moja.
naamini kuwa chadema ni nguvu ya hoja.
Najua pia kuna matatizo makubwa kiasi makao makuu ya chadema, lakini sidhani kuwa yanabadili misimamo ya walioingia chadema kupigania haki Tanzania.
Walio nje ndio wasemaji wakuu, na wawili au watatu walio humo ndani ambao kama kawaida huwa wapo kila mahali ni traitors. inaeleweka na ni acceptable.
quoting wanamahesabu wa kitheolojia wanasema 1/12 (yuda) ya kila kundi la watu, kuna mmoja anayeendeshwa na shetani na hakuna msaada, ni kukaa nae tu, atawasaliti tu, lakini si sababu ya kuacha kuendelea na kazi.
Mimi nilikuwa ccm wakati niko shule, nadhani bado niko huko, kwani sijanunua kadi ya chama kingine.
Najua pia CCM kuna matatizo makubwa, lakini si sababu ya kuacha kufanya kazi.
Vyama vyote vina matatizo makubwa, tukipata fursa ni vizuri kuvijadili kama hoja si kama pesonalities.
 
mushi pole pole mkuu, naona unataka kugeuka wale wazungu wanaowaita "the people who likes to listen to their own voices"

wewe hujaleta hoja, umeleta masuala. na unataka kuchota idea za watu bila ya wewe kuwa na yako hata moja. huna stance wala opinion lakini umeshika kusema "mjadala uendelee". uendelee kwa vipi?

mada yako haina hata skeleton, usitegemee watu kujazia nyama.

Gaijin kama wewe huoni ni muhimu kwa watu kuunganisha nguvu then huwezi kuona umuhimu wa mjadala huu!

Idea zinaanzia from nothing!
We study more about less and less until we learn something about nothing!

We listen to each other, we analyze we argue,we debate...We do all of that with common objectives.

Hapa hatutaki kabisa hawa watu wagawanyike!
Uwazi na honesty miongoni mwetu ni kitu cha muhimu la sivyo imani ya wananchi ni rahis kuyumba!

Ni lazima mjadala uendelee as whether kuunganisha nguvu ama ku merege vyama!

Tunaamini kila upande una maoni yake na tutayajadili bila husda!
 
Binafsi naamini kuwa chadema kina sera nzuri tu, sawa na vyama vingine, pia naamini kuwa chadema kuna VIONGOZI IMARA, pia kuna undelezaji wa vijana kwa nia moja.
naamini kuwa chadema ni nguvu ya hoja.
Najua pia kuna matatizo makubwa kiasi makao makuu ya chadema, lakini sidhani kuwa yanabadili misimamo ya walioingia chadema kupigania haki Tanzania.
Walio nje ndio wasemaji wakuu, na wawili au watatu walio humo ndani ambao kama kawaida huwa wapo kila mahali ni traitors. inaeleweka na ni acceptable.
quoting wanamahesabu wa kitheolojia wanasema 1/12 (yuda) ya kila kundi la watu, kuna mmoja anayeendeshwa na shetani na hakuna msaada, ni kukaa nae tu, atawasaliti tu, lakini si sababu ya kuacha kuendelea na kazi.
Mimi nilikuwa ccm wakati niko shule, nadhani bado niko huko, kwani sijanunua kadi ya chama kingine.
Najua pia CCM kuna matatizo makubwa, lakini si sababu ya kuacha kufanya kazi.
Vyama vyote vina matatizo makubwa, tukipata fursa ni vizuri kuvijadili kama hoja si kama pesonalities.

Haika nakubaliana nawewe katika hili.

Hawa wapinzani wote hawafai kabisa kupewa nchi. Chama ni ccm tu na nakupongeza kwa kujitaja hadharani kama mwanachama wa chama kubwa la ccm.
 
Gaijin kama wewe huoni ni muhimu kwa watu kuunganisha nguvu then huwezi kuona umuhimu wa mjadala huu!

Idea zinaanzia from nothing!
We study more about less and less until we learn something about nothing!

We listen to each other, we analyze we argue,we debate...We do all of that with common objectives.

Hapa hatutaki kabisa hawa watu wagawanyike!
Uwazi na honesty miongoni mwetu ni kitu cha muhimu la sivyo imani ya wananchi ni rahis kuyumba!

Ni lazima mjadala uendelee as whether kuunganisha nguvu ama ku merege vyama!

Tunaamini kila upande una maoni yake na tutayajadili bila husda!

Mushi,

Wala usibishane na wapinzani hao kwani hawana data wala chochote. Wewe bakia tu ccm kwani wapinzani hata ukiwapa ushauri hawatakusikiliza. Huyo Mrema mwenyewe alishauriwa na Nyerere abakie kwenye ubunge lakini hakusikia ushauri wa baba wa taifa.

Wewe bakia ccm Mushi, mawazo ya watu kama wewe yanahitajika sana kwenye kujenga chama.
 
mushi....mada yako haikuanza na jee upinzani unapaswa kuungana au kuvunjika, hata heading inasema chadema kunani, as if kumetokea jambo la kushangaza ndo maana unaulizia.

unapoambiwa mtu anapenda kusikiliza sauti yake mwenyewe ni mtu asiyewapa watu nafasi ya kusema, anasema yeye tu.

rejelea huu mjadala na uangalie una posts ngapi na za kwako wewe ni ngapi.

once unataka mawazo kutoka kwa wengine, usijaze posts zako tu ambazo zinasema hazifafanui chochote kwenye mada.

ni hayo tu
 
mushi....mada yako haikuanza na jee upinzani unapaswa kuungana au kuvunjika, hata heading inasema chadema kunani, as if kumetokea jambo la kushangaza ndo maana unaulizia.

unapoambiwa mtu anapenda kusikiliza sauti yake mwenyewe ni mtu asiyewapa watu nafasi ya kusema, anasema yeye tu.

rejelea huu mjadala na uangalie una posts ngapi na za kwako wewe ni ngapi.

once unataka mawazo kutoka kwa wengine, usijaze posts zako tu ambazo zinasema hazifafanui chochote kwenye mada.

ni hayo tu

Muulize Da' Waridi atakueleza!
Halafu soma maoni ya kila mtu utaelewa kinachoendelea na si ku concentrate kwenye kile mimi ninachosema!
Otherwise if you think you're not comfortable then you know its democracy hence what to do!
 
Binafsi naamini kuwa chadema kina sera nzuri tu, sawa na vyama vingine, pia naamini kuwa chadema kuna VIONGOZI IMARA, pia kuna undelezaji wa vijana kwa nia moja.
naamini kuwa chadema ni nguvu ya hoja.
Najua pia kuna matatizo makubwa kiasi makao makuu ya chadema, lakini sidhani kuwa yanabadili misimamo ya walioingia chadema kupigania haki Tanzania.
Walio nje ndio wasemaji wakuu, na wawili au watatu walio humo ndani ambao kama kawaida huwa wapo kila mahali ni traitors. inaeleweka na ni acceptable.
quoting wanamahesabu wa kitheolojia wanasema 1/12 (yuda) ya kila kundi la watu, kuna mmoja anayeendeshwa na shetani na hakuna msaada, ni kukaa nae tu, atawasaliti tu, lakini si sababu ya kuacha kuendelea na kazi.
Mimi nilikuwa ccm wakati niko shule, nadhani bado niko huko, kwani sijanunua kadi ya chama kingine.
Najua pia CCM kuna matatizo makubwa, lakini si sababu ya kuacha kufanya kazi.
Vyama vyote vina matatizo makubwa, tukipata fursa ni vizuri kuvijadili kama hoja si kama pesonalities.

Maoni ni mengi lakini hatutaki kuvuruga nia halisi ya kuunganisha either nguvu ama vyama!
Ama makubaliano ya aina yoyote!
Tunataka kila mtu bila kujali sana vyama wapate nafasi za ku utilize vipaji vyao kwenye ujenzi wa Taifa!
 
Tatizo uroho wa madaraka ndo unaowakumbuka viongozi ndani ya CHADEMA ukimwona CHACHA nae atataka agombee sasa hilo ndo tatizo kubwa sana na pale naona CHACHA ndo mbishi kuliko wote...
 
Maoni ni mengi lakini hatutaki kuvuruga nia halisi ya kuunganisha either nguvu ama vyama!
Ama makubaliano ya aina yoyote!
Tunataka kila mtu bila kujali sana vyama wapate nafasi za ku utilize vipaji vyao kwenye ujenzi wa Taifa!

Mushi,

Tujipange tujenge chama chetu ccm. Hiki ndio chama pekee chenye uongozi madhubuti. Mbona unaonekana kama unataka kubadili msimamo na kujiita mpinzani?

Umebadili kimya kimya au unataka kula kote kote!
 
Back
Top Bottom