Tatizo uroho wa madaraka ndo unaowakumbuka viongozi ndani ya CHADEMA ukimwona CHACHA nae atataka agombee sasa hilo ndo tatizo kubwa sana na pale naona CHACHA ndo mbishi kuliko wote...
Ingawa sina matatizo na watu wengi kugombea-kumbuka hata ccm tulikuwa na wagombea zaidi ya kumi na tano, ila huyo Chacha is my favourite. Chacha ni mwiba kwa Chadema. Yeye ndiye atawapeleka chini wapoteee kama NCCR walivyopotea kwenye historia ya upinzani Tanzania.