Chadema Kunani?

Nabisha..toa ushahidi!
Kumbuka mimi ni mtu ambaye nataka nione uwajibikaji kama ilivyo kwa vilio vya wananchi walio wengi!
Mwulize Lissu nani alibadili tamko la ushirikiano wa vyama lisomeke
tunakusudia kuunganisha nguvu zetu (tr.10/5/2007), badala ya sentensi ya awali iliyosema tunakusudia kuunganisha vyama vyetu kama ilivyokuwa imeandikwa na vyama hivyo tr 9/5/2007

pili, mwulize Mbowe kwa nini alitamka katika mkutano mkuu wa chadema mwaka 2005 kwamba hawatakaa waunge mkono au washirikiane na chama chochote kingine, watasimama wenyewe ,paka kieleweke

tatu, mwulize makamu mwenyekiti, hasira aliyokuwa nayo siku ushirikiano ulipotangazwa kama imempoa, na hata matamshi yake ya juzi kwamba CUF kivyao

nne, waulize wenyeji wa mkoa wa kigoma jinsi chadema inavyoshawishi wanachama wa vyama vilivyoko katika ushirikiano waame vyama hivyo wajiunge na chadema kinyume cha makubaliano yaliyopo

ukipata majibu hayo ya angalau, nitakupa nyeti zaidi
 
Na kama huamini CHADEMA ina nguvu flani then unaota da Waridi...Na kama hauamini kuwa CCM ni taabani then sina comment!

kila chama kina nguvu, ambazo kama ukitumia vigezo vinavyoeleweka si ajabu ukakuta umdhaniaye ndiye siye, open your eyes Mushi
 
ni angalizo la kuwapanua upeo

Nakubali,lakini wakati mwigine unaweza kupanua watu upeo bila hata ya kuleta tuhuma au ulalamishi. CHADEMA nafikiri ni wavumilivu zaidi kwenye kushambuliwa kuliko CCM. Sijui ingekuwaje kama hii forum ingekuwa inamilikiwa na washabiki wa CCM kama maoni ya kuishambulia CCM yangechapishwa! Tafakari
 
kila chama kina nguvu, ambazo kama ukitumia vigezo vinavyoeleweka si ajabu ukakuta umdhaniaye ndiye siye, open your eyes Mushi

Haya Da'Waridi...Nimekupata!
Mjadala uendelee....
 
Safi sana .Nadhani sasa watum wamesha amka na kujua hoja za kizushi .Waachieni kama hivi waendelee nayo wenyewe hadi wachoke .Yaani hakuna vitu vya maana zaidi ja Mbowe na Chadema hapa ? Ama kweli watu mko kazini .
 
Safi sana .Nadhani sasa watum wamesha amka na kujua hoja za kizushi .Waachieni kama hivi waendelee nayo wenyewe hadi wachoke .Yaani hakuna vitu vya maana zaidi ja Mbowe na Chadema hapa ? Ama kweli watu mko kazini .

Fafanua Lunyungu kwasababu mara zote mi sioni Mbowe na Chadema peke yake!
 
Kuna viongozi wengi tu wazuri upinzani!
Kama upinzani wasipoungana basi Kikwete ana uwezo wa kutuwin back kama akiwashughulikia mafisadi na kufanya mabadiliko yatakayahakikisha kuwa upuuzi huo haujirudii!
 
Kuna viongozi wengi tu wazuri upinzani!
Kama upinzani wasipoungana basi Kikwete ana uwezo wa kutuwin back kama akiwashughulikia mafisadi na kufanya mabadiliko yatakayahakikisha kuwa upuuzi huo haujirudii!

ujumbe wako huu uwaendee hasa hao walio kikwazo cha muungano wa upinzani, nadhani hadi sasa ushawajua
 
Najaribu..Ila waje hapa watu wamwage sera halafu tujadili!
Hatutaki mifarakano this time around!
Hatutaki KARMAS
 
Mijadala constuctive bila kukwepa kwepa ndio solution madhubuti itakayowahakikishia kupata baraka za wananchi za kwenda ikulu!
 
Mwulize Lissu nani alibadili tamko la ushirikiano wa vyama lisomeke
tunakusudia kuunganisha nguvu zetu (tr.10/5/2007), badala ya sentensi ya awali iliyosema tunakusudia kuunganisha vyama vyetu kama ilivyokuwa imeandikwa na vyama hivyo tr 9/5/2007

pili, mwulize Mbowe kwa nini alitamka katika mkutano mkuu wa chadema mwaka 2005 kwamba hawatakaa waunge mkono au washirikiane na chama chochote kingine, watasimama wenyewe ,paka kieleweke

tatu, mwulize makamu mwenyekiti, hasira aliyokuwa nayo siku ushirikiano ulipotangazwa kama imempoa, na hata matamshi yake ya juzi kwamba CUF kivyao

nne, waulize wenyeji wa mkoa wa kigoma jinsi chadema inavyoshawishi wanachama wa vyama vilivyoko katika ushirikiano waame vyama hivyo wajiunge na chadema kinyume cha makubaliano yaliyopo

ukipata majibu hayo ya angalau, nitakupa nyeti zaidi

Hapo kwenye kauli ya kuunganisha nguvu kuna ubaya gani?
Kwasabau saa nyingine lazima tuwe makini kwani CCM ni wajanja mno wa kuweka mapandikizi ambayo yanaweza kuleta mifarakano na hivyo upinzani kupoteza imani kwa wadau wa nchi!
 
Kuunganisha nguvu ni mara baada ya kumwaga sera hapa ili tukubaliane tuunganishe nguvu baada ya kukubaliana!
Haya mjadala uendelee..
 
jamani! chadema, chadema,chadema... hivi JF ni ya chadema? mara mwajadili sera zao,mara viongozi wao, mara sijui Dr Slaa for President 2010... hapa hamvitendei haki vyama vingine.
Tanzania tuna vyama 18, ni ufinyu wa majadiliano, kila siku chadema chadema chadema... jadilini na vyama vingine
TLP
Demokrasia makini
CHAUSTA
PPT Maendeleo
UPD
DP
NCCR Mageuzi
CUF
Jahazi asilia
CCM
nk

Jiulizeni huko kwenye vyama vingine kunaendelea kitu gani ndipo mtaweza kuwa na mtizamo au chaguo bora.

Waridi;

Ningekuunga mkono kujadili vyama vingine; lakini hiyo ni nadharia kwa vitendo vyama ni hivi...
1.CCM,
2.CHADEMA,
3.CUF;
4.UDP,
5. TLP,
6. NCCR MAGEUZI,
7. JAHAZI ASILIA;
8. PPT MAENDELEO,
9. CHAUSTA Na
10. UDP;
Hivyo vingine na ambavyo havipo hapo ni vikundi tu vya watu waliojikusanya wakaandika MEMORANDUM etc... wakasajiwa lakini sasa hivi havina hadhi ya vyama vya siasa vya Tanzania... lakini come 2010 utavisikia...

Na kwa maoni yangu... Kuanzia no. 6... hapo juu kwenda chini kuna walakini pia...
 
Waridi;

Ningekuunga mkono kujadili vyama vingine; lakini hiyo ni nadharia kwa vitendo vyama ni hivi...
1.CCM,
2.CHADEMA,
3.CUF;
4.UDP,
5. TLP,
6. NCCR MAGEUZI,
7. JAHAZI ASILIA;
8. PPT MAENDELEO,
9. CHAUSTA Na
10. UDP;
Hivyo vingine na ambavyo havipo hapo ni vikundi tu vya watu waliojikusanya wakaandika MEMORANDUM etc... wakasajiwa lakini sasa hivi havina hadhi ya vyama vya siasa vya Tanzania... lakini come 2010 utavisikia...

Na kwa maoni yangu... Kuanzia no. 6... hapo juu kwenda chini kuna walakini pia...

kwa taarifa yako namba 6 ni strong kuliko unavyofikiri,tena kama ni kutega masikio ya matumaini ungeyaweka hapo hapo namba 6,huko 1 hadi 5 hamna kitu
 
Waridi;

Ningekuunga mkono kujadili vyama vingine; lakini hiyo ni nadharia kwa vitendo vyama ni hivi...
1.CCM,
2.CHADEMA,
3.CUF;
4.UDP,
5. TLP,
6. NCCR MAGEUZI,
7. JAHAZI ASILIA;
8. PPT MAENDELEO,
9. CHAUSTA Na
10. UDP;
Hivyo vingine na ambavyo havipo hapo ni vikundi tu vya watu waliojikusanya wakaandika MEMORANDUM etc... wakasajiwa lakini sasa hivi havina hadhi ya vyama vya siasa vya Tanzania... lakini come 2010 utavisikia...

Na kwa maoni yangu... Kuanzia no. 6... hapo juu kwenda chini kuna walakini pia...

na si kuanzia namba sita tu, bali hata huko juu pia kuna baadhi vina walakini...so tunapoizungumzia chadema ni kama vile ndo "afadhali" na hao wengine ni "potelea mbali"
 
kwa taarifa yako namba 6 ni strong kuliko unavyofikiri,tena kama ni kutega masikio ya matumaini ungeyaweka hapo hapo namba 6,huko 1 hadi 5 hamna kitu

naomba kaushahidi ambako kanaweza kakaniingiza mkenge...teh teh
 
Hapo kwenye kauli ya kuunganisha nguvu kuna ubaya gani?
Kwasabau saa nyingine lazima tuwe makini kwani CCM ni wajanja mno wa kuweka mapandikizi ambayo yanaweza kuleta mifarakano na hivyo upinzani kupoteza imani kwa wadau wa nchi!

angalia uzito wa kilichobadilishwa,ujue muungano wa vyama haupo bali danganya toto tu
 
naomba kaushahidi ambako kanaweza kakaniingiza mkenge...teh teh

unajua kwamba viongozi wakuu wa namba 6 takribani wote hawako nchini, jiulize wako wapi na wanafanya nini

unajua kwamba namba 6 kitakwimu ina wanachama wengi sana,ikizidiwa na vyama viwili tu kikiwemo ccm chenye wanachama 4m

nakudokeza tu simwagi kila kitu
 
Back
Top Bottom