CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

CHADEMA kumshitaki Mkumbo mahakamani

Buntungwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
549
Reaction score
310
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?
 
Sasa na wewe umeandika au you were just screbling?
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
Kulikuwa na ulazima Mhe. Rais kusema atamlipia mgonjwa Muhimbili kupitia mshahara wake? Mbona kawaida sana mkuu?
 
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?

Mkuu ni vizuri kuelewa ni kwa nini wanaweza kupeleka hayo madai. Ukweli ni kwamba RPC wa Mwanza kavunja sheria na ni maamuzi yake ya kipuuzi ndiyo yaliyosababisha hao jamaa kuingia gharama. Gharama hizo ni kulazimika kukaa Mwanza kwa Kipindi zaidi ya makusudio. Gharama zingine ni zile za kuendesha kesi. Kwa hiyo suala la kutafuta haki siyo suala la kupiga pesa.
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?

Hayo manaeno yalishatokea shinyanga kwa mpiganaji shelembi kuwa watamfanyia msaada wa nyumba na mambo mengi hebu njoo uone familia ya shelembi nini imefanyiwa kama si kutelekwezwa
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?
 
Wakuu, katika mwendelezo wa sarakasi nimemsikia Mbowe akidai watamfikisha mahakamani Mkumbo (RPC?) ili ajue gharama za kumweka Lowassa Mwanza. Watataka CHADEMA walipwe gharama za kumweka Lowassa siku nane. Wakati rais Magufuli akibana matumizi, NGO zinazojitambulisha Kama vyama vya siasa zinatafuta mianya ya kupigia pesa. Hawa ndio wapinga ufisadi!!?

wakimshita itakuwa imekaa poa sana,kwa kuwa wananchi wamepata hasa kwa uzembe wa amri isyo halali,pia amepoteza kodi za wananchi bila sababu
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?

Na maguful alishndwa nn kukaa kimya mpaka atangaze kaokoa pesa za sherehe ya wabunge, wakat pesa zenyewe ni michango ya Mashrka ya umma, uoni ni aibu kwa rais wa nch kuleta mbwembwe kwa ajili ya 250M, wakat watu wanapiga maescrw kwa kuchekacheka
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?
mmh. kweli mnatafuta vyeo lakini mjinga wenu kashaondoka na aliyepo hawezi kukupeni kama fadhila we urudi Songea uje kulima@Hamy D. vp au umepata ajira hapo Lumumba
 
Mleta uzi ni mpumbavu sana kwanza kashindwa kuzuia mihemko yake ya kisiasa na kuleta andiko la kipumbavu kama hili.

Mpumbavu nyumbu wewe, kudai fidia eti sababu kumweka Lowassa Mwanza ni gharama kubwa ni upuuzi uliopitiliza. Nyumbu weee
 
Mbowe ana mambo ya ajabu sana! Hivi kulikuwa na haja gani ya kuutangazia ulimwengu kuwa wabunge wa UKAWA watachanga pesa eti laki 3 ya kumsomesha mtoto wa Mawazo!? Hivi alishindwa kuongea na wabunge wake kimya kimya huko mpaka atutangazie!?

Nafuu huyo aliyetangaza kuchanga fedha za kumsomesha mtoto wa marehemu kuliko yule aliyetangaza kumtibu Ray C kwa kuelemewa na madawa ya kulevya yaani TEJA huku waliomsababishia uTEJA huo wakiachwa wakiendelea na biashara hiyo.
 
Ni nakwambia kamanda Mbowe ni mhuni tu na mbinafsi. Atashurutishaje wabunge wachangie kwa mtoto wa Mawazo bila ridhaa yao.!??? Yaani kafanya maamuzi tu ya kihuni huni. Sio zama zake hizi.
Je watoto wa Chacha Wangwe mbona wamtupwa kule
Je watoto na familia na Mwangosi mbona imetelekezwa? ?
Je mbona familia na dr Mvungi imetelekezwa? ?
Je mbona wapo wahanga wengi wa siasa ambao wametangulia mbele ya haki kwa ajili ya kutetea ukawa na chadema mbona wametelekezwa? ??
Kwa nini iwe kwa Mawazo? ??? Na kuamua kuwalazimisha wabunge, wengine ni wapyaaa hata hawataki biashara ya kupelekeshana kama hiyo? ?

wewe BABELI NDI MHUNI UNAYEPIKA HABARI
Nani alikwannbia kuwa wabunge walishuritishwa mhuni Babeli?? hayo yalikuwa makubaliano ya kikao cha wabunge wenyewe

NAifahamu familia ya chacha wangwe nani aliyekwambia familia yake imetelekezwa mhuni Babeli na majibu yake umeyaona kwenye uchaguzi wana Tarime wameipa nini chadema unafikiri cdm imtelekeze familia yake halafu leo wana Tarime waipe zawadi ya jimbo cdm grow up babeli.

Mwangosi anausika vipi na cdm ?? hakuwa mfanyakakzi wao wala mpiga debe wao lakini wameaidi kusoma mtoto wao wake kwa hiyari yao wenyewe ujue kuwa cdm ni chama chenye utu, mwangosi alikuwa mwajili wa channel 10

Dr.Mvungi hakuwa mwajiiliwa wa cdm wala hakuwai kufanya kazi cdm sasa sijui wana usika vipi na issue yake mpaka anakufa mvungi alikuwa mwajiliwa wa serikali kwahiyo inawajibia naye hapa pameonyesha uenda babeli kichwa yako haijakaa sawa.
kwanini iwe kwa mawazo tu??
Mawazo alikuwa ni kiongozi na mtumishi wa chadema amefia kazini ameacha mtoto mmoja halafu hutako achangiwe ili upige kelele kwanini hakuchangiwa next time uliza kabla ya kuanza kutoa madai yako ya ajabu kama haya ya kulazimisha wabunge
 
Back
Top Bottom