CHADEMA wanategemewa kuanza yale makongamano ya kukusanya michango toka kwa wananchi wa mikoa ya Mbeya, Iringa na Songwe kuanzia tarehee 13/10/23.
Kigogo wa chama Mrema ambae ni mkurugenzi wa mahausiano wa chama alithibitisha kuanza kwa makangamono husika.
Mzee Mbowe atasaidiwa na binamu yake Godbless ambae anaminika ni mhamsishaji mzuri kwenye kuhamisisha ukuasanyaji wa michango.
Kigogo wa chama Mrema ambae ni mkurugenzi wa mahausiano wa chama alithibitisha kuanza kwa makangamono husika.
Mzee Mbowe atasaidiwa na binamu yake Godbless ambae anaminika ni mhamsishaji mzuri kwenye kuhamisisha ukuasanyaji wa michango.