CHADEMA kuiunga mkono Jubilee ni kujisaliti

CHADEMA kuiunga mkono Jubilee ni kujisaliti

hivi mnazani chadema kumpigia kampeini Uhuru kunawaongezea ushawishi ndani ya Tanzania? kwenye sura ya kenya kwa vyama vya upinzani na taifa kwa ujumla unaonyesha taswira gani kama mwana diplomasia mkuu, nchi gani ametoka mwanachama wa chama chochote kwenda kumpigia kampeini uhuru? jiulize hayo maswali kwanza arafu utapata jibu.
Waambie aisee,hawa watu wamezidi kutafuta kiki hata pasipo stahili
 
Wanachama hawana say lakini hapo hapo mnaogopa uchaguzi huru na wa haki kwa kujua ni lazima mtapigwa tu tena kipigo cha mwaka! Mnaihofia katiba mpya ya rasimu ya Warioba, mnaihofia tume huru ya uchaguzi na kung'ang'ania kile kitengo chenu cha wizi wa kura na chaguzi! Mnachekesha sana nyie chama cha wahuni na mafisadi. Msikilize huyu mwenye hadhi kubwa ndani ya chama chenu. Ukweli anaujua.



Wanachama hawana say;Maamuzi huamuliwa na mzee wa kubadili gia angani,,Wanachama kazi yao kuandamana
 
Waberoya jinga kabisa hivi huyu dikiteita uchwara asiyetaka demokrasia asiyeheshimu katiba atakubali kushindwa.? Hivi sasa alipo aliingia kwa dhuruma, PhD ya kufoji unategemea nini?

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT
Demokrasia unayotaka ni ipi? Mbona hata hapa uko huru kuandika pumba zako na hakuna anae kughasi? udikteta unao usema wewe ni upi? Kwani kampeni hamkufanya? Mlipiga kampeni sanaaa,hadi mkawa mna copy na kupaste mapicha ya watu ili kuonyesha nyomi kwenye mikutano.Mwisho wa siku chali....Sasa hivi ni kufanya kazi kampeni hadi 2020.Mikutano ya maendeleo fanyeni kwenye majimbo yenu.
 
H
Wanachama hawana say lakini hapo hapo mnaogopa uchaguzi huru na wa haki kwa kujua ni lazima mtapigwa tu tena kipigo cha mwaka! Mnaihofia katiba mpya ya rasimu ya Warioba, mnaihofia tume huru ya uchaguzi na kung'ang'ania kile kitengo chenu cha wizi wa kura na chaguzi! Mnachekesha sana nyie chama cha wahuni na mafisadi. Msikilize huyu mwenye hadhi kubwa ndani ya chama chenu. Ukweli anaujua.

[/QUOT
That was long ago kabla haja tambua kuwa CCM haiibi kura.Kwa kifupi sisi CCM hatuibi kura.Tungekuwa tunaiba kura Lisu,mbowe,Heche na wengine wengi wangeingia bungeni? mbona unaongea as if uko unconsciuos
 
hivi kama Lowassa amekiunga mkono chama tawala ambacho kwa madai ya chama cha upinzani nasa kimereport kudukuliwa kwa matokeo nayeye kukubaliana na ilo si ni sawa na hata CCM ikifanya hivyo si ni vyema aipongeze pia?
 
hivi kama Lowassa amekiunga mkono chama tawala ambacho kwa madai ya chama cha upinzani nasa kimereport kudukuliwa kwa matokeo nayeye kukubaliana na ilo si ni sawa na hata CCM ikifanya hivyo si ni vyema aipongeze pia?
Haswaaa! 2020 hukawii kusikia mara ooh tumeibiwa.watu hatari sana hawa
 
He
Siasa ni dynamic!Mtoa post kaumizwa na matokeo!Ajipange upya kilichomchapa kujiaminisha kuwa atatawala kama bwana fulani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuni pakazia ,,mi niko zangu kijijini nalima zangu matikiti..Habari ya nani kawa Rais kenya hata hainiumizi...Nimeweka tu angalizo kuwasaidia wapinzani wetu coz naona hawana dira.They talk too much to an extent wanaongea even vitu vitakavyo wagharimu kesho
 
He

Acha kuni pakazia ,,mi niko zangu kijijini nalima zangu matikiti..Habari ya nani kawa Rais kenya hata hainiumizi...Nimeweka tu angalizo kuwasaidia wapinzani wetu coz naona hawana dira.They talk too much to an extent wanaongea even vitu vitakavyo wagharimu kesho
Kilimo chema mkuu!
 
Ccm ni wezi pale nguvu ya umma inapoizidi polisi ndio ushindi unapatikana. Jimbo la Mbagala walifikia kuchoma sanduku za kura mpaka kesho hakuna aliyekamatwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuishi kwa dhana potofu.Hakuna nguvu ya uma unayoweza kuzidi dola.Wananchi wakisikia mlio wa bunduki tu huwaoni karibu,,Kama hujui muulize Hamo rappa.Serikali ingetaka kuiba msingepata hata majimbo kumi but kwa kuwa serikali ni ya kidemokrasia wananchi waliamua wenyewe.Kama huamini hili muulize mbunge wako Bulaya
 
Back
Top Bottom