Tetesi: CHADEMA kuingiza nchini magari mapya zaidi ya 25 kwa kazi maalumu kuelekea uchaguzi

Ukiwa na bangi kichwani isiwe una- reply comments za watu. Maana unakuwa hujaelewa mantiki unarukia tu
umepanic asubuhi mapema sana kamanda 🐒

mantiki ni kujibu tu, ndio au hapana. na kuweka maelezo ya usawa kidogo, kisha unahitimisha maelezo yako...
simple and clear.....

sasa mihemko si inakutoa kwenye reli tu kamanda wa mwamba wa kanda ya kati 🐒
 
Napendekeza wanaccm mchangieni mwenyekiti wenu Gari, kisa ni no 1 mnamsukumizia kwenye Magari yatokanayo na kodi za watz wote. Au yale yatokanayo na ruzuku ya chama

Tunataka kuona wanachama wa ccm mkichangia Gari ya Mwenyekiti wenu kila siku mama mama lengo ni kupiga maokoto.

Mchangieni gari mpeni kama wanachama na ataamua matumizi ya ilo gari binafsi

Kila siku mama tupo pamoja je mmefanyia nini ili aone mko nae pamoja

Lissu watz wanasema wapo pamoja nae na wanaonesha ukweli kwa sasa pesa za kununua gari zinachangwa kwa speed sana
 
Napendekeza wanaccm mchangieni mwenyekiti wenu Gari, kisa ni no 1 mnamsukumizia kwenye Magari yatokanayo na kodi za watz wote. Au yale yatokanayo na ruzuku ya chama

Tunataka kuona wanachama wa ccm mkichangia Gari ya Mwenyekiti wenu kila siku mama mama lengo ni kupiga maokoto.

Mchangieni gari mpeni kama wanachama na ataamua matumizi ya ilo gari binafsi

Kila siku mama tupo pamoja je mmefanyia nini ili aone mko nae pamoja

Lissu watz wanasema wapo pamoja nae na wanaonesha ukweli kwa sasa pesa za kununua gari zinachangwa kwa speed sana
Mama, Comrade Dr Samia Suluhu Hassan, hua haombi kwasabb anayo...

ila tu kwa mapenzi yao, makundi mbalimbali mathalani wailimu, madaktari, wafugaji, wanawake, vijana, wakulima, vyama vya siasa, taasisi za dini na kiraia, mashirika ya kitaifa na kimataifa,

kwa ridhaa zao wenyewe, kwa mahaba na mapenzi yao wenyewe bila kushurutishwa na yeyote, tayari wameshamchangia Dr. Samia Suluhu Hassan mabilioni ya fedha kumuomba na kumshinikiza kwamba atake asitake lazima akachukue fomu kugombea urais 2025 kwa gharama zao 🤣

kama Marekani vile michango inaenda 🐒
 
Mama, Comrade Dr Samia Suluhu Hassan, hua haombi kwasabb anayo...

ila tu kwa mapenzi yao, makundi mbalimbali mathalani wailimu, madaktari, wafugaji, wanawake, vijana, wakulima, vyama vya siasa, taasisi za dini na kiraia, mashirika ya kitaifa na kimataifa,

kwa ridhaa zao wenyewe, kwa mahaba na mapenzi yao wenyewe bila kushurutishwa na yeyote, tayari wameshamchangia Dr. Samia Suluhu Hassan mabilioni ya fedha kumuomba na kumshinikiza kwamba atake asitake lazima akachukue fomu kugombea urais 2025 kwa gharama zao 🤣

kama Marekani vile michango inaenda 🐒
Nami najua anayo , ila nimewataka waccm , kuchangia form sio hoja yangu hapa , daily mama tuko pamoja wenyewe wamemuonesha nini kama wapo pamoja nae kama sio unafiki wamchangiri gari binafsi kama mwenyekiti wao
 
Kuna matambiko mengine yanajibu kwa speed ya supersonic ,tambiko huwezi litengua labda yule alietambika maana yapo maneno yatasemwa pale so wa kutengua ni wale waliotambika , lipo mpaka tambiko la radi wingu kidogo mhusika chali, hii nimeshudia mwaka 2006 kati ya walengwa mmoja radi ilimfuata kanisani akachakazwa na kuwaacha waumini wengine na mshutuko wa kawaida huku mlengwa akiwa mwili umegeuka mweusi kama mkaa
 
Nami najua anayo , ila nimewataka waccm , kuchangia form sio hoja yangu hapa , daily mama tuko pamoja wenyewe wamemuonesha nini kama wapo pamoja nae kama sio unafiki wamchangiri gari binafsi kama mwenyekiti wao
No,
hawawezi kumchangia mama gari, hiyo hapana. halafu yale mav8 ya kijani mengi namna ile pale HQ dar, Dodoma na kisiwandui, nani ayatumie?🐒

uvccm jambo la kwanza,
huhakikisha wote asibaki hata moja, wanalipia kadi zao za uanachama kwa umoja wao, kumuonyesha mama kwamba ni wanachama hai na wako tayari kumpambania dhidi ya vitimbakwiri kama vile Mpina n.k🐒

Jambo la pili,
hua wanahakikisha kura za vijana nchi nzima bila kujali vyama vyao, haiponyoki hata moja kwenye sanduku la kura. Zote lazima ziende kwa mgombea urais wa CCM, ambae mwaka ujao, matumaini makubwa zaidi ni kwa huyu Mama.🐒

hiyo ndio zawadi kubwa na ya pekee sana ya vijana wa CCM, kwa viongozi wao wakuu wa CCM hasa mgomeaji urais 🐒

hakuna haja kumchangia mama gari, hata ndege japo uwezo wanao, but ruzuku ya CCM ni nono mno aise dah 🐒
 
Kuna matambiko mengine yanajibu kwa speed ya supersonic ,tambiko huwezi litengua labda yule alietambika maana yapo maneno yatasemwa pale so wa kutengua ni wale waliotambika , lipo mpaka tambiko la radi wingu kidogo mhusika chali, hii nimeshudia mwaka 2006 kati ya walengwa mmoja radi ilimfuata kanisani akachakazwa na kuwaacha waumini wengine na mshutuko wa kawaida huku mlengwa akiwa mwili umegeuka mweusi kama mkaa
haya haya ya kichawi na kishirikina?🐒

Mungu hua hajibu right?🐒
 
No,
hawawezi kumchangia mama gari, hiyo hapana. halafu yale mav8 ya kijani mengi namna ile pale HQ dar, Dodoma na kisiwandui, nani ayatumie?🐒

uvccm jambo la kwanza,
huhakikisha wote asibaki hata moja, wanalipia kadi zao za uanachama kwa umoja wao, kumuonyesha mama kwamba ni wanachama hai na wako tayari kumpambania dhidi ya vitimbakwiri kama vile Mpina n.k🐒

Jambo la pili,
hua wanahakikisha kura za vijana nchi nzima bila kujali vyama vyao, haiponyoki hata moja kwenye sanduku la kura. Zote lazima ziende kwa mgombea urais wa CCM, ambae mwaka ujao, matumaini makubwa zaidi ni kwa huyu Mama.🐒

hiyo ndio zawadi kubwa na ya pekee sana ya vijana wa CCM, kwa viongozi wao wakuu wa CCM hasa mgomeaji urais 🐒

hakuna haja kumchangia mama gari, hata ndege japo uwezo wanao, but ruzuku ya CCM ni nono mno aise dah 🐒
Sasa iwe mwisho kumpakaa mwenyekiti wenu mafuta kwa Mgongo wa chupa eti mama tupo pamoja kama mnashindwa mtafutia zawadi kama nilivyopendekeza , kisa v8 za kijani za ccm na v8 za serikali maana hizo sio zake na si zawadi kwake

Note
Mwenyekiti CCM kuwa makini na hawa wanaokwambia mama tuko pamoja hawako pamoja na wewe kesho ukiachia kiti ndo utaona Rangi zao, wapo na wewe ili kupiga maokoto basi , nawashauri wakuchangie gari binafsi kama shukrani kama mwenyekiti wao ,wanasema yapo Mv8 ya kijani sasa siku waulize kama mv8 ni zawadi kwako au ni mali za chama
 
Kama ulijua au kushiriki Mwambie Msechu kuingia studio
embu ya msechu isubiri kidogo, 🐒

hebu elezea kidogo pale nyuma,
kwamba ulishuhudia radi ikakwepa mamia ya waamini ikiwa ni pamoja na wew, kanisani kama kucheza game vile, ikamfuata mjamaa katikati ya wengineo na kumtungua 🤣

aise kweli hii dunia duara dah...
 
Magari hayo ni ya kimkakati na kazi maalumu. Yatasambazwa kwenye kila kanda, katika kanda zote za kichama nchi nzima. Magari haya yatakua chini ya usimamizi wa viongozi waandamizi wa kanda watakaochaguliwa hivi karibuni katika uchaguzi wa ndani ya chama unaondelea. Mnyetishaji alisisitiza.

Madhumuni ya magari haya muhimu ya kimkakati, ni ili kuyafikia malengo mahususi yaliyowekwa, na yaliyokusudiwa kufikiwa na chama kuelekea uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu ujao.

Haijafahamika bayana bado, kwamba miongoni mwa gari hizo za kimkakati, the second in comand chadema, nae ataongezewa gari la pili, baada ya kuomba kuchangiwa gari jingine na wanainchi....
pia kama gari hilo la mchango, litakua la chama au binafsi, itafahamika yatakapofika hayo mengine...

Lets wait and see, time will tell...

Until next time 🐒
Lissu alichungulia orodha ya watakaofaidi keki ya chadema akaona jina lake halipo,mbowe kamtosa,kaamua kumuovertake chamani wake ,aisee genge la chadema ni ujinga mtupu.
 
Sasa iwe mwisho kumpakaa mwenyekiti wenu mafuta kwa Mgongo wa chupa eti mama tupo pamoja kama mnashindwa mtafutia zawadi kama nilivyopendekeza , kisa v8 za kijani za ccm na v8 za serikali maana hizo sio zake na si zawadi kwake

Note
Mwenyekiti CCM kuwa makini na hawa wanaokwambia mama tuko pamoja hawako pamoja na wewe kesho ukiachia kiti ndo utaona Rangi zao, wapo na wewe ili kupiga maokoto basi , nawashauri wakuchangie gari binafsi kama shukrani kama mwenyekiti wao ,wanasema yapo Mv8 ya kijani sasa siku waulize kama mv8 ni zawadi kwako au ni mali za chama
umoja wa wanaCCM ndani na nje ya nchi hauwezi kutenganishwa wala kudhoofishwa kwa zawadi na kimbelembele, cha ati sijui tumpatie nani nini akati vyote vipo ili ionekane tunampenda 🐒

hakuna kitu kama icho,
mapenzi ya wanaCCM, mahaba ya CCM, ni Lazima yaelekezwe kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, na si kwa fulani au vinginevyo, kama wanavyofanya vyama dhaifu vingine humu nchini 🐒

nia, dhamira, mipango, mikakati na jitihada zote za CCM ni katika kuwafanyia kazi waTanzania, kwa bidii, maarifa, weledi na kwa uaminifu mkubwa, ili kuchochea na kuwaletea wanainchi maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Na hii ndio zawadi pekee ya CCM kwa wanainchi, nyingine ni porojo tu 🐒
 
Lissu alichungulia orodha ya watakaofaidi keki ya chadema akaona jina lake halipo,mbowe kamtosa,kaamua kumuovertake chamani wake ,aisee genge la chadema ni ujinga mtupu.
aah kwahivyo unataka kusema, sasa hivi huyo muungwana anatumia mgongo wa Chadema kujinufaisha kibinafsi sio, huku chairman akimlia timing tu na kumsubiri sheli kwenye kujaza mafuta?🐒
 
umoja wa wanaCCM ndani na nje ya nchi hauwezi kutenganishwa wala kudhoofishwa kwa zawadi na kimbelembele, cha ati sijui tumpatie nani nini akati vyote vipo ili ionekane tunampenda 🐒

hakuna kitu kama icho,
mapenzi ya wanaCCM, mahaba ya CCM, ni Lazima yaelekezwe kwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla, na si kwa fulani au vinginevyo, kama wanavyofanya vyama dhaifu vingine humu nchini 🐒

nia, dhamira, mipango, mikakati na jitihada zote za CCM ni katika kuwafanyia kazi waTanzania, kwa bidii, maarifa, weledi na kwa uaminifu mkubwa, ili kuchochea na kuwaletea wanainchi maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Na hii ndio zawadi pekee ya CCM kwa wanainchi, nyingine ni porojo tu 🐒
OK sasa acheni kelele kwa walioamua kuonesha dunia kwamba wtz wote wapo pamoja na mh lissu wakamilishe jambo lao kwa vitendo , izo kelele za lissu kuchangiwa stop ,
 
OK sasa acheni kelele kwa walioamua kuonesha dunia kwamba wtz wote wapo pamoja na mh lissu wakamilishe jambo lao kwa vitendo , izo kelele za lissu kuchangiwa stop ,
wapo wote wap gentleman🐒

wakati timu mwamba wa kaskazini wanafakafoka kama wana hip-hop kwamba huyu muungwana aondolewe tu kwenye chama kwasabb anatumia chama kwa manufaa yake binafsi, anakiabisha na kukufedhehesha chama kwenye jamii, anakigawanya na kukimegua chama, anakidhoofisha na kukidhalilisha chama 🐒

Kwan mchangisha pesa ngapi mpak sasa 🐒
 
Back
Top Bottom