issawema
JF-Expert Member
- May 30, 2013
- 776
- 643
Baada ya mgomo uliopelekea kufukuzwa kwa viongoz wa juu wa selikari ya wanafunzi UDOM nlisikia CHADEMA wakitoa matamko mbalimbali kuhusu kurudishwa kwa viongozi hao lakini mpaka sasa hakuna mabadiliko na watu wanamalizia UE na kwenda likizo.
JE! CHADEMA ILIKUWA IKIWAHADAA WANAFUNZI NA WANANCHI ?
JE! CHADEMA ILIKUWA IKIWAHADAA WANAFUNZI NA WANANCHI ?