bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
AK[AKILIPEVU]unajua nini m2 wangu,ZK kazibwa mdomo hivyo hanakauli kama awali.ila tukirudi kwenye uzinduzi wa CDM hiyo inati moyo kwani waswahili husema akuanzae mmalize ccm walisha wahi udom ila sasa kwa nguvu na mwendo wa hatari 2metia mguu,wataanza kudai kuwa 2nataka kuanzisha vita kama sio vurugu.naomba mwendo na juhudi viendelee.BIG UP.Amechukua nafasi ya ZITTO KABWE aliyetekwa na CCM!