nchasi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 564
- 184
Vema sana vijana wetu wa UDOM. Sisi wazee wenu tunawategemeeni ninyi ktk harakati za kulikomboa taifa letu. Msikubali kurubuniwa na Mafisadi hata mkipewa chochote pokeeni, lakini msitimize yale wawashawishiyo. I feel very proud kwa vijana wetu kwani ndio nguvu ya mabadiliko. Hakika ukombozi u njiani.