SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Katika harakati za kuimarisha chama leo ktk chuo kikuu cha Dodoma chadema watafungua tawi ktk eneo nje kidogo na chuo kwa kujumuisha wana Udom na wananchi waishio ktk maeneo hayo ya Ng'ong'ona kwani Dodoma mwamko wa wakazi wake ni mdogo kwa kufanya ivyo itajenga chama na kuongeza imani kwa wananchi.