Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,028
- 1,791
Tanzania bila mashinikizo kama maandamano tusitegemee mabadiliko.Hata serikali kwa sasa inajua imeshikwa pabaya ndo maana wanatumia jeshi lao la kusababisha ghasia kuleta ghasia ili maandamano yaonekane ni hatari na wananchi wayaogope!Mi naamini maandamano yoyote ya uma ni ya amani unless yanaingiliwa na jeshi la kusababisha ghasia kwa kisingizio cha dola.Roma haikujengwa siku moja,tutafika tu even if wanakwamisha.