Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Tunasubiri maafa mengine Mwanza.
Kuandamana bila kuomba kibali ni kukiuka sheria ya vyama vya siasa ambayo chadema imeridhia, ni bora zaidi kufuata sheria ya kuandamana kuliko kuingia mtaani bila vyombo vingine kujulishwa.
kuna sheria nyingi hazipaswi kutiiiwa!!!
Mwambie mwanao aende mwanza kuandamana bila kutii sheria...
Kwakuwa haupo kwenye scene na hakuna mwanao aliyeko huko..unakosa uhalali wa kuwafundisha wengine..
umerudi kutoka kifungoni na crap
Ndio programmed mind..
habari ya huko ... mkuu ... naona una stock kubwa sana
Kuandamana bila kuomba kibali ni kukiuka sheria ya vyama vya siasa ambayo chadema imeridhia, ni bora zaidi kufuata sheria ya kuandamana kuliko kuingia mtaani bila vyombo vingine kujulishwa.
. Lengo kuu la maandamano hayo ni pamoja na kushinikiza Rais Kikwete ajiuzulu, kupinga mambo mbalimbali kama kupanda kwa gharama za umeme, kupinga ufisadi, kupinga DOWANS kulipwa na kuongezeka kwa gharama za maisha.
Kisha Slaa aapishwe kuwa rais.....kuna watu huwa hawa amki usingizini..get it losers Kikwete is your president for the next five years.
Kamuulize Mubarak then rudi hapa ujibu .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee alikuwa na ujinga ujinga kama huo huo ... ... Five years my f***.
Kamuulize Mubarak then rudi hapa ujibu .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee alikuwa na ujinga ujinga kama huo huo ... ... Five years my f***.
Mubarka siyo JK, a democratically elected President..
Misri siyo Tanzania
Siku mkiandamana mkutoa JK, tutakutana kwenye viwanja hivyo tuone nani wako wengi
Maandamano ya Misri yalisimamiwa na wanaume na wanawake straight hayo ya mwanza kuna mishoga tupu, usitegemee matokeo yafanane, kukuhakikishia hili CCM and Kikwete will still be in power miaka minne baada ya maandamano ya Mwanza.
Jipeni moyo lakini wenzenu tayari wamekimbilia c h o o n i.