Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Apr 1, 2011 #21 Smartboy said: sio utani hii nimeiskia kweli Click to expand... Kwani wengine habari za foolsday hupata kwa kunusa?
Smartboy said: sio utani hii nimeiskia kweli Click to expand... Kwani wengine habari za foolsday hupata kwa kunusa?
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 Apr 1, 2011 #22 Smartboy said: Hivi hata magazeti yanadanganya siku ya wajinga Click to expand... why not?
AMARIDONG JF-Expert Member Jun 24, 2010 2,502 180 Apr 1, 2011 #23 ni kweli kabisa wala sio UTANI AU UJINGA CHADEMA KIMEFUTWA KWENYE MUUNGANO WA VYAMA HAWARA NA WAKE WA CCM,NA KIMABAKIA KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI
ni kweli kabisa wala sio UTANI AU UJINGA CHADEMA KIMEFUTWA KWENYE MUUNGANO WA VYAMA HAWARA NA WAKE WA CCM,NA KIMABAKIA KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI
LWAKAPISI Member Mar 31, 2011 46 4 Apr 1, 2011 #24 kimefutwa kweli lakini saa6 mchana wa leo kitasajiriwa tena
Mikael Aweda JF-Expert Member Dec 17, 2010 2,973 3,901 Apr 1, 2011 #25 Pamoja na kufurahisha wakati mwingine, Siku ya wajinga nayo ina athari ya kutupotezea muda.