CHADEMA kimataifa zaidi

CHADEMA kimataifa zaidi

Mie ACT lipumba anihusu......nilichogundua CDM wamekasirika kweli Lipumba kurudia kiti cha enzi.....

Katika kukikalia wanapishana kidogo na Mh Mbowe.
Aaaaaa Actccm!
 
Leo hii katibu mkuu wa cdm mh Dr Mashinji atakuwa anahutubia mkutano mkuu wa mwaka wa chama rafiki cha CPP nchini Denmark kuhusu demokrasia na maendeleo,wakati hapa nyumbani tunapigwa pinView attachment 406513
Inaonekana hata hicho chama hukielewi. Wewe umekalia kumsifia Mashinji na kukimbiza uzi ili upate posho. Soma vizuri historia na mrengo wa hicho chama kwanza.
 
Kafisadi nini katika familia yenu,umasikini wako usisababishe uchukie watu wengine
Kipimo cha umasikini ni kipi? Umasikini ni mtu kuwa na fikra mgando kama zako, hapa tunajadili mambo ya nchi siyo mambo ya familia moja moja!
 
Kipimo cha umasikini ni kipi? Umasikini ni mtu kuwa na fikra mgando kama zako, hapa tunajadili mambo ya nchi siyo mambo ya familia moja moja!
1474802302075.jpg
 
Kipimo cha umasikini ni kipi? Umasikini ni mtu kuwa na fikra mgando kama zako, hapa tunajadili mambo ya nchi siyo mambo ya familia moja moja!
Kwa uelewa wako mana unasema fisadi ila hujui alifisadi nini kwa vile wewe ni kibwengo unafatisha ya vichaa wenzio..tafuteni hela muache kujadili msiyoyafahamu
 
Mbona Wabongo hao wote. Ndo Denmark?

Na kama kweli ndo maana wananchi walitukataa. Watu hawataki kujenga kwao kila siku nje?
 
Back
Top Bottom