CHADEMA kimataifa zaidi

CHADEMA kimataifa zaidi

Mbowe ana tofauti gani na Kabila, Museveni na Kagame kwenye suala la kukalia kiti kwa muda mrefu?

Wildbeest bhana ni wazito sana kufikiri.
Kwa sababu aliwafukuza ndani ya chama ndio maana unamjengea majungu
 
Kwani ukishare hiyo link kuna ubaya gani?
Habari ya cdm iwache kwa wapenda siasa za mageuzi wa kweli maana nyinyi ni wapinzani wa upinzani nchini
 
Sasa neno Kimataifa limeingiaje kwenye chadema? Maana hata picha uoiyoweka haioneshi dhan nzima uliyoitaja
Huwezi kuelewa kwani akili yako imefungiwa lumumba
 
Nitajie rafiki yako nami nitakuambia tabia yako. Hii dhana ya vyama rafiki katika nchi hii inafikirisha na inaonesha haiba ya chama kwa kuangalia aina ya "marafiki" wa vyama kuanzia CCM, Chadema, n.k. Naomba niishie hapo.

And this is only applicable katika ulimwengu wa kimwili, kiroho any one can be your friend. Mfano Jesus alisema alikuja kwa ajili ya wenye dhambi/wagonjwa ili wapate kupona. Wabaya hawatengwi kihivyo, watabadilikaje? Na wewe ambae sio rafiki wa hicho chama ni mwema sasa!
 
Atajuaje wkt yy kama robot command yake ni kumtukana zitto tu mengine hayajui nadhan hata hii habar kacopy ....kidding!!
Nisaidie kujua mrengo upi unafuatwa na CDM?
 
Back
Top Bottom