simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 485
Watu wanashangalia matumizi mabaya ya ruzuku eeeh!! Hamna ata aibuLeo hii katibu mkuu wa cdm mh Dr Mashinji atakuwa anahutubia mkutano mkuu wa mwaka wa chama rafiki cha CPP nchini Denmark kuhusu demokrasia na maendeleo,wakati hapa nyumbani tunapigwa pinView attachment 406513