CHADEMA kimataifa zaidi

CHADEMA kimataifa zaidi

Mbona Wabongo hao wote. Ndo Denmark?

Na kama kweli ndo maana wananchi walitukataa. Watu hawataki kujenga kwao kila siku nje?
1474803882225.jpg
 
Leo hii katibu mkuu wa cdm mh Dr Mashinji atakuwa anahutubia mkutano mkuu wa mwaka wa chama rafiki cha CPP nchini Denmark kuhusu demokrasia na maendeleo,wakati hapa nyumbani tunapigwa pinView attachment 406513
Karibu vyama vyote vya siasa vina vyama rafiki. CCM ina vyama rafiki vingi tu. Na kwa miaka 54 ya utawala wake imehutubia mikutano mingi sana ya aina hiyo. Hivyo kwa CCM hiyo siyo habari.
 
Karibu vyama vyote vya siasa vina vyama rafiki. CCM ina vyama rafiki vingi tu. Na kwa miaka 54 ya utawala wake imehutubia mikutano mingi sana ya aina hiyo. Hivyo kwa CCM hiyo siyo habari.
Ni habari ndio maana umevutiwa nayo na kuichangia
1474804471793.jpg
 
Mashinji hana uwezo wa kujenga hoja..infact chadema iliacha kuexist toka dr.slaa atoke..sasa hvi they are just struggling only for survival
 
Back
Top Bottom