Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Tunakujua wewe unafuata mashetanimungu yupi?
Tunakujua wewe unafuata mashetanimungu yupi?
Zidumu fikra sahii za kiongozi mkuu na nuru ya ACTAtajuaje wkt yy kama robot command yake ni kumtukana zitto tu mengine hayajui nadhan hata hii habar kacopy ....kidding!!
Upinzani maana yake nini?Wewe ni mpinzani wa upinzani Tanzania
Rafiki umepoteza kumbukumbu au makusudi?!Lowasa wakati yupo ccm hakuwa fisadi lkn baada ya kuhama tu ndio akawa fisadi?
Baada ya kumtangaza hapo ni hatua gani ccm mlimchukulia huyo fisadi?ebu tuanzie hapo kwanzaRafiki umepoteza kumbukumbu au makusudi?!
Wakati chadema wanatangaza list of shame Mwembeyanga Lowasa alikuwa chama gani? Tena alipewa no 11 na hawa hawa ombao leo wanamwosha miguu!
Mimi siye miongoni mwao ila nimewaza tuu kwa sauti kutoka ndani!Kiboko yenu
Ameshaanza kuhutubia?Aya sawa
Lipeni kodi ya pango billicanasLumumba ndio mnabugia ruzuku hadi mnashindwa kulipwa mishahara
Lpumba akusalimMwandiga hawajambo?
Mie ACT lipumba anihusu......nilichogundua CDM wamekasirika kweli Lipumba kurudia kiti cha enzi.....Wewe hayakuhusu shughulikia kwanza ujio wa lipumba
Anamlinganisha na kinanaaSema Dr Mashinji
Alaah usisahau na kuitaja na kilimakyaroNikweli mkuu cdm ipo hapa nchini kwa mpango maalum wa mungu