CHADEMA kimataifa zaidi

CHADEMA kimataifa zaidi

Hata kusoma na kuelewa kilicho andikwa unashindwa?
Ukinijibu swali langu ntajua urafiki wa CDM na hao kina Hitler ni wa vipi.? So nisaidie kujua mrengo....sio swali gumu
 
Nitajie rafiki yako nami nitakuambia tabia yako. Hii dhana ya vyama rafiki katika nchi hii inafikirisha na inaonesha haiba ya chama kwa kuangalia aina ya "marafiki" wa vyama kuanzia CCM, Chadema, n.k. Naomba niishie hapo.

CCM rafiki zake

kagame

ura uganda ...museven

Zanu zimbambwe babu mugabe

Drc congo, kabira

nasasa zambia

Hapo utaona tu.....
 
Ukinijibu swali langu ntajua urafiki wa CDM na hao kina Hitler ni wa vipi.? So nisaidie kujua mrengo....sio swali gumu
Wewe huna hoja nakushauri uendelee kubadilishana mawazo na Lipumba
 
Mlianza na Mungu kweli, lakini mnamalizia na fisadi Lowasa! Kama wizi ni tabia za shetani, basi malizia wewe!
Lowasa wakati yupo ccm hakuwa fisadi lkn baada ya kuhama tu ndio akawa fisadi?
 
Sema nikupe mawasiliano ya mutungi atakusaidia kujibu swali lako
Kuna haja gani ya kwenda kwa jaji? Wakati wewe ni kada mtiifu unaweza kunipatia majawabu pasi na shaka?
Nitajie ideology ya cdm mkuu.
 
CCM rafiki zake

kagame

ura uganda ...museven

Zanu zimbambwe babu mugabe

Drc congo, kabira

nasasa zambia

Hapo utaona tu.....
Mkuu upo vizuri sana kwa kumbukumbu
 
Kama huoni kilicho andikwa basi sema tukusaidie nukta nundu
Demokrasia na maendeleo ni chama chenu.....nipe tips za demokrasia na maendeleo katika muktadha upi.....
 
Sasa neno Kimataifa limeingiaje kwenye chadema? Maana hata picha uoiyoweka haioneshi dhan nzima uliyoitaja
 
Mkuu upo vizuri sana kwa kumbukumbu
Mbowe ana tofauti gani na Kabila, Museveni na Kagame kwenye suala la kukalia kiti kwa muda mrefu?

Wildbeest bhana ni wazito sana kufikiri.
 
Back
Top Bottom