Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Lamuhimu ni kuepuka UDINI na UKABILA ndio wengi wanakilaumu CHADEMA na kama haitajivua koti hilo chafu huenda ndio ukawa mwisho wa CDM!!!
Hii ni imani potofu ambayo ccm wamefanikiwa kuijenga kwa watz wengi ambao hawapendi kujituma kushugulisha halmashauri za ubongo zao. Udini na ukabila ni propaganda za kuturudisha nyuma ni lazima kuwaelimisha wote wanaoamini hivyo badala ya kuwa wakali. Chama lazima kiandae mipango ya lazima na semina za kukemea udini na ukabila.