Nilikuwa nazungumza na mtu wa usalama akanieleza jinsi walivyoiua nccr na kuidhoofisha cuf wakati ule. anasema chadema wanajaribu lakini ina ugumu maana lazima uingize watu wenye ushawishi wakavuruge vikao vya chama ili chama kigawanyike. chadema inapaswa kuepuka matatizo waimarishe sana demokrasia ndani ya chama hivyo maamuzi yote makubwa yatokana na vikao hata mtu akipinga anakuwa hana nguvu. pili waimarishe kitengo cha propaganda. tafuteni wasomi wenye kiwango kama dr lwaitama mlipeni vizuri awe anapiga
http://www.google.com
http://www.google.com