Kumbe umekumbajia uwezo wako huna hoja. we kama una elimu nadhani njia sahihi ya kumfundisha mtu siyo kuishia hapo kwenye jibu lako, unatakiwa uende mbali zaidi katika kuivunja hoja yangu umuweke slaa mahala pa zuri otherwise tutakutana kwa wananchi hukohuko jimboni tuone kama utanijibu ivo ivo mbele ya wapiga kura
Duh! Hii kali.
Bakini na hiyo dhana...sisi tunaendelea kupeta tu
Si lazima uchangie kila hoja.Huwa unaonekana kituko
We respect Dr Slaa."PEOPLE'S CAN NOT BE STOPED BY ARMY"
Arumeru si Uzini Wameru wajanja bwana hawarubuniwi kwa ubwabwa.
hee we msukule upo.................sasa una ni pm unanipenda me nikupeleke wapi koma
Umesoma shule gani wewe?
Ulipata division ngapi o-level?
Vipi kiingeleza ulifaulu?
Duh,...
hayo mambo binafsi sidhani kama ina ruhusiwa
kuongelea mambo ya PM in public.
SIO USTAARABU,....NI USHAMBA NA NI KINYUME CHA
SHERIA ZA JF.
Narudia tena,...kama nilivosema kuhusu uzini na ikawa kweli kwamba kule chadema haitashinda
bali itaenda kuji panua zaidi,....ndivyo ilivyo kuwa.
Arumeru sitegemei jipya,....chadema hawata shinda ingawa kutakua na vuta nikuvute sana.
Kama ccm iliweza kushinda ikiwa na mgombea mbovu kabisa,tena aliye kuwa kitandani mda mwingi
sitegemei chochote kipya kwa sasa.
Narudia tena,....ccm itashinda ingawa kwa tofauti chache sana ya kura,...hata kama ni kura 1.
Hope springs eternal!The same word, the same statement in IGUNGA,UZINI,.........................................
Hope springs eternal!
Sisi yetu macho lakini Slaa, asijiaminishe sana na ushindi Arumeru.
Ritz naona gamba linavuka
Dr ilo liko wazi,hata c.c.m wanajua kua kule wao wanaenda kua washiriki tu!arusha sio uzini!viva cdm
Tunaomba uweke link inayo husianana na na hiyo kauli ya dr slaa kuhusu uzini!otherwise utakua mzushi tu
Sio kila jimbo unatoa ahadi mkuu!
The same word, the same statement in IGUNGA,UZINI,../QUOTE]
Kama Igunga maji yalikuwa shingoni, pamoja na dola kutumika, bastola za kina Rage, mauaji na vitisho, kwa Meru itakuwa ngumu kwa sababu:
1. CDM ilikuwa na kura za kutosha 2010 na upinzani ulikuwa mkali.
2. CCM haina ubavu wa kutumia dola kwa Wameru, Wameru ingawa ni wachache, wanao uwezo wa kupambana na dola hata kwa mapanga na mawe. (kumbuka kufyekwa shamba la Kimaro)
3. Wameru huwa hawakubali kuonewa, si waoga kamwe