johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
ACT Wazalendo 2015 walifanikiwa kupata Halmashauri ya Kigoma ambayo sasa imerithiwa na CCM na ndio inaongoza kwa Wizi na Ufisadi.
Niwapongeze Chadema ambao Iringa, Mbeya, Moshi nk hawajawarithisha CCM Wizi labda pale Ilala tu ambapo CCM walipapora na ndio ofisi Yote ya Uhasibu wako Kizimbani.
ACT Tanganyika Mjitafakari.
Niwapongeze Chadema ambao Iringa, Mbeya, Moshi nk hawajawarithisha CCM Wizi labda pale Ilala tu ambapo CCM walipapora na ndio ofisi Yote ya Uhasibu wako Kizimbani.
ACT Tanganyika Mjitafakari.