CHADEMA in war against the truth

Wewe Amanibaraka sijui akili zako ziko sehemu gani ya mwili wako.

*Watanzania wengi hawajui tofauti ya TISS na Sheikh Yahaya (wote wanatumia nguvu za kishenzi kutisha/kuiba/kuharibu)
*Wote ni marehemu (TISS is dead morally and Yahaya is dead physically/spiritually)
 

wanapoteza muda mitandaoni acha uchaguzi uje ndio watazijua hasira za wananchi,kilichowapata kwenye chaguzi za serikali za wananchi walipowakataa kwa sababu ya vurugu kitajirudia tena mara mbili yake
 

KUFIKIRI KAMA WEWE ni kujidanganya
 
Hili ni zoezi la kusambaratisha hoja za Watoto Waliofeli Form Four.
 
mimi naamini Rwakatare amehongwa/amenunuliwa kusema vile maana video inaonyesha alikuwa aware kwamba anarekodiwa (stage managed) kwahiyo inapoteza credibility ya kama anachosema kina ukweli maana kama alirekodiwa under cover basi ningeamini CHADEMA wanafanya uharamia ule kwa waandishi wa habari! Kwa bahati mbaya UWT wamechemka hapo katika ku-prove the authenticity of that footage na the earlier CHADEMA wanagundua hilo the earlier wanajing'atua katika kashfa ile! they need to denounce him asap!
 
Kwa nini clip hiyo ya video haikupelekwa kwenye vyombo vya usalama kwa ajili ya uchunguzi na hatimaye wahusika kuchukuliwa hatua, ndiyo prime question. Clip hiyo kuanzia JF ni mpango maalum wenye malengo ya propaganda za kisiasa. Mwananchi yeyote mwenye uchungu na Nchi yake angeanzia kwenye vyombo vya usalama. Sasa tunaambiwa bado kuna ushahidi mwingine tutaletewa hapa JF. Kwa nini asiupeleke Polisi?
 
two wrong doesnt make right. Hoja unazoleta ni kama ku- divert from the topic, from the issue under discussion. The point in the video is lwakatare speaking. Full stop.

Hatuwezi kujadili video bila ku-question credibility yake

Kama wewe ni blind follower,then i'm not one of them
 
Kuna Magaidi Tanzania zaidi ya Magaidi wa CCM

Katibu wao tu anatisha Dr Bimgwa wa vinywa na shingo za Tembo Dr Kinana
Msaidizi wake ni Mhanga mkubwa wa Ndito na wake za watu.
Mdomono ana Amblifire ya Matusi.
 

RIP Chacha Wangwe
 
Kimantiki nilivoitazama ile clip nikajua hapa kapo kamchezo kamechezwa na hakuna kitu kibaya kama kumdhulumu mtu akinyanyua mikono akiomba kwa Allah bass hairudi nyuma jeshi la polisi kama kweli wanamdhulumu wakatare basi hawatokua na amani maishani mwao
 

Unawazungumzia Watanzania wapi wewe jinzungumzie wewe uliye rubunika k na hiyo video kwa upumbafu wako mwenyewe huna namna ya kutudanganya watu na akili zetu kwa huo mchezo wenu wa kitoto.
 
Kumbe 'ukweli' upo wazi kiasi hiko! Sasa inashindikana nini kumpeleka mahakamani?
 
chadema ni chama cha wahuni sema ndio hivyo kipenda roho, washabiki wake hawataki kuona ukweli yaleyale ya chacha wangwe , chama kimejaa wahuni

Bora wahuni kuliko wauaji na waporaji wa kodi na rasirimali za watanzania mafisadi nyie Magamba ccm.
 
Ndugu zangu wa JF,hapo kilichotumika kurekodi ni spy gadgets ambazo zinakuwa na hidden camera,na Mtu asiyeijuwa yyt anaweza ku rekodiwa ni Rahisa saaaaana,ila ningeomba wanasisa basi waombe hiyo footage ipelekwe nje au waandoshi wa habari makini waunde tume Yao ya uchunguzi kuangalia km kna mchezo wa DIGITAL EDITING hapo,lakini Mimi binafsi nimeshafuatailia kwa wataalam wangu wa VIDEO DIGITAL EDITING wamesema ni ORIGINAL sasa tusaidiane Au itumwe nje ilibidi Tuombage Msaada kwa FBI,labda tutapata ukweli na kukubaliana nao
 

Na kifo tata cha Chacha Wangwe.
 

Mngemtoa ila kwa sababu mmempakazia ndiyo sababu mnamtesa ili akubali masharti yenu.
 
inawezekana ukawa sahihi,je unajua ccm wameua wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…