CHADEMA impigie magoti Dr. Slaa!

They only catches! Ha ha ha! Ongea lugha ya bibi yako utaeleweka vizuri kuliko kuvamia lugha za akina Prince George.
You do grasp things from the wind,wind stands there as a synonym of a proverb........shenz type.......
 
HIVI YULE KATIBU WENU WEKA MBALI NA MENO YA TEMBO BADO YUPO??? KADA,, JANGILIII
Na yule katibu muhamasishaji wa mgomo wa madaktari kwa ajili ya political gain yupo?
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa Lowassa alikimbia mwenyewe..hakufukuzwa
 
bado nasisitiza kuwa Chadema impigie magoti sllaa
 
Hivi akifa huyo Dr Slaa vipi kwani huyo ndiye mtu pekee CHADEMA anaweza kuwa katibu mkuu jaribu kujishughulisha na mawazo yako.


Hawawezi kukuelewa hawa jamaa ni wagumu sana maana wanaishi angani na kubadilishia gear angani huko huko,
Laana ya damu za wanachadema wa kweli zitawaamdama daima hawa
 
SLAA HANA TIME NAO ALISHAWATOSA.......ANAENDELEA NA LIFE KAMA KAWA...........
 
Dk Slaa anakula pensheni nchi za watu aliyoipata baada ya kuitimikia siasa kwa finishing ya style yake!!!
 


Wanataka Slaa arudi ili awavuruge zaidi. Msiwasikilize hawa wauza sumu. Amin amin nawaambia, hawawatakieni mema.
 

Hawawezi kukuelewa hawa jamaa ni wagumu sana maana wanaishi angani na kubadilishia gear angani huko huko,
Laana ya damu za wanachadema wa kweli zitawaamdama daima hawa


Zikiisha watarudi ki Sengerema style. Si ajabu hata hili wazo la kumpigia magati ikawa ni hatua moja wapo wa hii style.
 
Dhambi waliyoitenda CDM ya kumtangaza EL kwa mbwembwe za kila aina kuwa ni FISADI, halafu baadaye kidogo wanamwabudu kama ndiyo Mungu wao ni lazima iwatafune siku hadi siku.
Dhambi nyingine ya kuwatetea majizi siku hadi siku ni lazima iwamalize kabisa.
 
Kitu ambacho Chadema wamefanikiwa sana ni kuwaaminisha washabiki wao na wajinga wengine kuwa Dr Slaa amehongwa na si wao kuuza Chama ....Dr Slaa aliwahi kuwauliza ...ziara zake za kisiasa Marekani na kwingine walikuwa wanajua fedha ilikuwa inatoka wapi? Waliwahi kuhoji? ....Namna hii ya siasa na uelewa ndio maana nakataa wanaosema tatizo ni CCM ....tatizo ni sisi wenyewe .....CCM si dubwasha ...ni watu ...wengine wamekuwa wakuu wa serikali for years na sasa ndio wanaimba wimbo wa kutukomboa wakiwa Chadema!!! ....ONLY IN TANZANIA ....
 
S
Sijui Mbowe kawapa Nini CDM yaani wanauamini uwongo wake kuliko ukweli wa Dr Slaa!
 
Tanzania haihataji mtu Bali mfumo. One man show ndio zinatuponza mpaka watu wanajiona mungu watu. Cdm if not capable let it die same to ccm
 
SLAA HANA TIME NAO ALISHAWATOSA.......ANAENDELEA NA LIFE KAMA KAWA...........
Slaa ni mshamba wa k anashawishiwa na lile gubeli anasusa .. Kwanza sio presidential material basi tu tulikuwa hatuna option
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…