CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

safi sana yericko , viongozi wa kisiasa hasa wa UKAWA ( WAKIONGOZWA NA WAZIRI KIVULI MH LEMA )wanapaswa kwenda makao makuu ama vituo vyovyote vya polisi kusikiliza kero zao , hawa ni watanzania wenzetu wenye njaa ya kawaida kama ile tunayoipata sisi wengine ama labda kuzidi hata sisi wakulima .
 
Hapa tunalitazama hili kisayansi sio rejareja tu mkuu,

Mkuu Yericko unaongea kwa kuwabembeleza sana,wapinzani na hasa CDM na CUF wameshinda uchaguzi kwakua hakuna WIN bila LOOSE.mimi nakaa kata yenye vijiji 8,CDM imechukua 6,CCM imechukua 2.mwanzo viti vilikua vya CCM vyote.nani kapokonywa hapo?nani kashinda?sasa hivi Balozi wangu ni UKAWA,Diwani UKAWA,Mbunge UKAWA kasoro RAIS.
 
Mkuu Yericko unaongea kwa kuwabembeleza sana,wapinzani na hasa CDM na CUF wameshinda uchaguzi kwakua hakuna WIN bila LOOSE.mimi nakaa kata yenye vijiji 8,CDM imechukua 6,CCM imechukua 2.mwanzo viti vilikua vya CCM vyote.nani kapokonywa hapo?nani kashinda?sasa hivi Balozi wangu ni UKAWA,Diwani UKAWA,Mbunge UKAWA kasoro RAIS.

Safi sana, hongera sana mkuu!
 
Kila kukicha vijana wachace sana, tena wasiojitambua kutoka sehemu mbalimbali, wamekuwa wakisikika wakitoa majigambo mbalimbali kuwa eti uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa CHADEMA imefanya vizuri sana,nakwamba hiyo ni ishara tosha kuwa 2015 Oktoba njia ya kwenda Ikulu ni nyeupee!, Sasa mimi nauliza je kupata 14% kutoka 5% za awali ni mafanikio makubwa yanayotosha kuipeleka CDM ikulu? Baadhi ya vijana hawa bila aibu wengine wanatamba kuwa kwa vile CCM ilikuwa na asimia nyingi 2009 na sasa imebakiwa na 81, sasa Wananchi wameichoka. Je hii ni kweli ? Je mwanafunzi kama kwenye "weekly test" anapata 5%,mara akapanda na kupata 14% , ambazo zote kimsingi ni "F" , Je Mzazi wake akimchinjia Mbuzi na kumpongeza kuwa kwa vile alikuwa na 5% na sasa ana 14% basi mtihani wa Taifa atapata 100% au kufaulu kwenda Advanced Level (Form V)?, Mzazi wa jinsi hii atakuwa na busara kupoteza uhai wa mnyama huyo kwa kumpongeza mwanafunzi aliyepata 14%?
 
Inategea, hiyo % ya ufaulu imetolewa na nani. Kama mtoaji ni yule anayeaminika kuwa ni mwenye hila siku zote hiyo 14% inaweza kuwa ni dalili nzuri kwa ...
 
Kila kukicha vijana wachace sana, tena wasiojitambua kutoka sehemu mbalimbali, wamekuwa wakisikika wakitoa majigambo mbalimbali kuwa eti uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa CHADEMA imefanya vizuri sana,nakwamba hiyo ni ishara tosha kuwa 2015 Oktoba njia ya kwenda Ikulu ni nyeupee!, Sasa mimi nauliza je kupata 14% kutoka 5% za awali ni mafanikio makubwa yanayotosha kuipeleka CDM ikulu? Baadhi ya vijana hawa bila aibu wengine wanatamba kuwa kwa vile CCM ilikuwa na asimia nyingi 2009 na sasa imebakiwa na 81, sasa Wananchi wameichoka. Je hii ni kweli ? Je mwanafunzi kama kwenye "weekly test" anapata 5%,mara akapanda na kupata 14% , ambazo zote kimsingi ni "F" , Je Mzazi wake akimchinjia Mbuzi na kumpongeza kuwa kwa vile alikuwa na 5% na sasa ana 14% basi mtihani wa Taifa atapata 100% au kufaulu kwenda Advanced Level (Form V)?, Mzazi wa jinsi hii atakuwa na busara kupoteza uhai wa mnyama huyo kwa kumpongeza mwanafunzi aliyepata 14%?

Mkuu ukawa imepata 38% na Ccm 47% take it from me...

Hiyo 14% mnajifariji pamoja na mapingamizi na kuapisha ambao hawaja shinda na wale ambao walishinda bila kupigiwa kura hahahaha ImageUploadedByJamiiForums1421000882.691997.jpg
 
Wewe haukuwepo Tanzania wakati wa mchakato wa uandikishwaji wa wapiga kura kwenye chaguzi zilizopita, hivyo haujui kilichoendelea.

Kaa usubili maandamano kama kawa.
 
Mkuu ukawa imepata 38% na Ccm 47% take it from me...

Hiyo 14% mnajifariji pamoja na mapingamizi na kuapisha ambao hawaja shinda na wale ambao walishinda bila kupigiwa kura hahahahaView attachment 217817

Nimekupata Mkuu, kumbuka kwenye Fomu ya mgombea inaeleza wazi tena kwa lugha rahisi sana kuwa , taarifa za mgombea zisiwe na makosa, na endapo fomu husika ikiwa na makosa, mgombea atakuwa amekosa sifa za kugombea, Sasa hebu tueleze , Je Ulitaka wagombea walikosa sifa waruhusiwe tu kugombea hata kama wamejaza fomu kwa makosa? mfano, Fomu inamtaka ataje jina la chama chake, mgombea anaandika CCM, au CDM, au NCCR-Mageuzi, wakati hakuna vyama vinavyoitwa kwa majina hayo kwa Msajiri, Je waruhusiwe tu?, Wengine walijaza majina mwawili tu wakati fomu inataka majina kamili matatu, je waruhusiwe tu kwa vile wanatoka chama fulani?, wengine waliandika hivi kwa mfano, Ally. H. Hamis au John M.Samweli, Je waruhusiwe ili mapingamizi yasiwepo? Uchaguzi ulikuwa ukiongozwa kwa sheria, je ni halali kupinga au kuzuia viongozi kuapa kwa madai eti hawakushinda, nakuwa walioshinda wamezuiwa kuapa? Je kutumia mawe,marungu, visu,mapanga,ni njia halali ya kuwatetea viongozi ambao wamezuiwa kuapa? Je kama kweli Serikali inageuza utaratibu kwa kuwaapisha wale ambao hawakushinda na kuwaacha wale walioshinda, sasa je kwa wale viongozi wa Chadema waliotangazwa na wasimamizi kuwa wameshinda, tuamini kuwa kumbe na wenyewe nao hawakushinda ila walioshinda ni wa vyama vingine? Jamani tuwe wakweli na tujadili siasa kama watu wenye uelewa, na hoja zetu zisitawaliwe na chuki, itikadi, wivu, Mimi ningependa sana hoja zetu zitawaliwe na ukweli, takwimu, uelewa, ushahidi, na sheria. Huwa sifurahii sana mtu kuchangia kwa maneno kama haya; Chama hiki sikipendi , ukimuuliza ubaya hawezi kuuleza, hata mkifunua ukurasa kwa ukurasa aseme "Sera ya Chama hiki hasa eneo hili", siyo zuri linaturudisha nyuma. TUWE WATANZANIA BADALA YA WATAZAMIAJI.
 
acha kuongopa hadharani ben wa saa9; kwenye serikali za mitaa watu walienda kujiandikisha hakukuwa na hitajio la majina ya 2010.

Variable factors katika aspect mbalimbali za uchaguzi



1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
 
Ben Sanane, mbona unaanzisha ubishi usiokuwa na tija? Kwenye uchaguzi huu uliopita 2014 Des.hapakuwa na daftari la wapiga kura la zamani, pia "variable" gani unazojaribu kutumia wewe ili "ku-justfy" unayoyaongelea? kuwa mkweli , hesabu haina longo longo, takwimu zinasomeka CHADEMA 14% pekee ndicho ilichovuna, "nothing more", sasa wewe utetezi usiokuwa na "supporting Number" is imaterial" . Kumbuka "if a person can talk something using Numbers then he/she knows something about it".
 
Ben Sanane, mbona unaanzisha ubishi usiokuwa na tija? Kwenye uchaguzi huu uliopita 2014 Des.hapakuwa na daftari la wapiga kura la zamani, pia "variable" gani unazojaribu kutumia wewe ili "ku-justfy" unayoyaongelea? kuwa mkweli , hesabu haina longo longo, takwimu zinasomeka CHADEMA 14% pekee ndicho ilichovuna, "nothing more", sasa wewe utetezi usiokuwa na "supporting Number" is imaterial" . Kumbuka "if a person can talk something using Numbers then he/she knows something about it".

Mbona unakurupuka?Hebu soma hiyo thread ni ya lini.Sikuandika kuhusu uchaguzi huu wa S/m.

Muwe mnasoma kwanza tarehe na mwaka basi sio kurukia rukia na kutema venom tu
 
Back
Top Bottom