CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

Pamoja na machungu niliyonayo,
Hoja yako ipo sahihi nadhani umedadafua kila kitu kinachotakiwa. nimependa sana statement hii;

Wanamikakati warejee chini wawafanyie utafiti wa kisayansi viongozi wa majimbo, mikoa na kanda, nilazima tuwapime kwa nyuzi 360 kiutendaji kwakuwa hizi chaguzi ndogo za kata na serikali za mitaa zinatakiwa wao wasimamie na kuonyesha uwezo wao na sio hivyo tu bali lipo ndani ya uwezo wao kikatiba, Chama lazima sasa kijikite kwa nguvu zote kwenye msingi (chadema ni msingi).

Kwangu pamoja na mambo mengine naona Chama kinatakiwa kujikita katika Eneo hilo la Uongozi wa Majimbo, Mikoa na Kanda; kuna dalili ya Udhaifu na makosa katika maeneo hayo; Hakuna mikakati na Utekelezaji wenye Tija: katika nafasi hizo. hilo lizingatiwe. uwezeshaji maeneo hayo pia ni muhimu ili kuongeza morali na msukumo unaoweza kuathiri mitazamo ya watu. anyway Big up brother. noamba kama una idadi ya jumla ya kura zilizopigwa uniwekee hapa.

One love kamanda, nitalifanyia kazi ombi lako
 
Variable factors katika aspect mbalimbali za uchaguzi



1😀aftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
hili la kuboresha daftari halini sumbui sana kwa sababu ni lazima kesi za kusimamisha chaguzi zitakuwa nyingi kwa ambao hawaja andikishwa kuanzia mwaka huu ninahakika na ntaanza mimi ,pia kuwa na kadi alafu namba ya kadi na daftari kuwa tofauti ninahakika halita vumilika tena sinto kubali kutokupiga kura tena kwa sababu ya daftari haki itapatikana mahakamani waache tu wachelewe hivyo hivyo, Tatizo lina baki kwenye vyombo vya dola hapa ni lazima tujue cha kufanya , na tume kutokuwa huru pana mtihani hapo,lakini kubwa kuliko yote ni rushwa bwana ccm wanatoa rushwa sijapata ona ninajua PCCB hawana ubavu wa kupambana shahada zinanunuliwa kama njugu na mwisho kununuliwa kwa wagombea na kujto dakika za mwisho linanikera sana hili jambo sijui hata wanapata Tsh.ngapi.Watanzania wenzangu asilimia 80 ya umaskini wetu unasababishwa na CCM tushirikiane kuitokomeza.
 
Wajinga wenzio watakasupoti. Hakuna justfication yeyote itakayofuta kichapo kikali mlichopata. Tutaheshimiana tu.

Yericko amepost saa16:41 Deo Corleone amejibu 16:47. Sidhani ikiwa Deo amepata muda wa kusoma post yote ya Yericko na kutafakari. Ni kwamba amekurupuka kujibu tu labda ili kukidhi haja ndogo na kubwa anazozijua yeye mwenyewe.

Ukiangalia, Daftari la wapiga kura ni tatizo na CCM hawatakiwi kuridhika na kuchekelea ushindi. Ukiangalia mikutano ya Chadema, wahudhuriaji wengi ni Vijana, tofauti na ilivyo kwa CCM. Kwa hiyo waungaji mkono wengi wa Chadema hawakupiga kura.

Ili tuweze ku conclude, hebu tuboroshe daftari kisha tukiingie kwenye uchaguzi, hapo sasa tutaweza kusema Chadema kimeo, CCM kidume ama laaaaa!
 
Yericko amepost saa16:41 Deo Corleone amejibu 16:47. Sidhani ikiwa Deo amepata muda wa kusoma post yote ya Yericko na kutafakari. Ni kwamba amekurupuka kujibu tu labda ili kukidhi haja ndogo na kubwa anazozijua yeye mwenyewe.

Ukiangalia, Daftari la wapiga kura ni tatizo na CCM hawatakiwi kuridhika na kuchekelea ushindi. Ukiangalia mikutano ya Chadema, wahudhuriaji wengi ni Vijana, tofauti na ilivyo kwa CCM. Kwa hiyo waungaji mkono wengi wa Chadema hawakupiga kura.

Ili tuweze ku conclude, hebu tuboroshe daftari kisha tukiingie kwenye uchaguzi, hapo sasa tutaweza kusema Chadema kimeo, CCM kidume ama laaaaa!

Hao wasameheni tu, kazi kubwa waliyonayo ni kuangalia nani kapost, ikiwa ni mtu wanaemjua ni mwanachadema basi hawana haja yakusoma alichokiandika, wao ni kupinga tu
 
Japo kuboresha daftari na kuwaandikisha vijana ndiyo itakayoizika ccm, hata wasipoboresha ni dhahiri watanzania wameichoka ccm.

RIP ccm, tulikupenda lakini shetani alikupenda zaidi
 
Japo kuboresha daftari na kuwaandikisha vijana ndiyo itakayoizika ccm, hata wasipoboresha ni dhahiri watanzania wameichoka ccm.

RIP ccm, tulikupenda lakini shetani alikupenda zaidi

Naaam naaam mkuu!
 
Muono wangu wa mwezi wa pili mwaka 2013, leo 14/12/2014 yameanza kutimia.
 
Japo kuboresha daftari na kuwaandikisha vijana ndiyo itakayoizika ccm, hata wasipoboresha ni dhahiri watanzania wameichoka ccm.

RIP ccm, tulikupenda lakini shetani alikupenda zaidi

Kabisa tena ushindi wa kishindo kama huu wa serikali za mitaa, Molemo tuandalie takwimu za ushindi wa kishindo 2015 uziweke hapa Jukwaani makanda waanze kupongezana kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom