CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

CHADEMA imeng'ara kwenye Uchaguzi na Itashinda 2015

Porojo politiki hizo. nimefurahi Watanzania kuwaelewa hawa manyang'au,siku wakishika madaraka ndipo mtakapojua ukatili wa hawa jamaa,wao kwanza pesa,utajiri walionao wamegundua kuwa politiki inalipa zaidi sasa wamejikita humo. HIVI MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUMUAMINI MBOWE AU JAMBAZI LEMA NI WAKOMBOZI WAO? NO NO NO NO NO KABISA. WE ARE NOT CRAZY. hawa jamaa wengine ni wapiga debe tu(kina Yericko) kwa ahadi lukuki,lakini jaribu kuingia anga zao uone cha moto,watakufanya kama Chacha Wengwe,hata Zitto akae sawa tu,hawa jamaa hawatamuacha kisha watanyooshea kidole serikali ya Kikwete. Sasa wanajidanganya kwa daftari la wapiga kura as if vijana wote ni wao kumbe ni hao wamachinga tu,ambao akili zao fupi za kunya kwenye mifuko ya plastic na kukojoa kwenye chupa za plastik,hawa ukiwaambia chochote watakuelewa hivyo hivyo,ukiwaambia mavi yanaliwa watakula tu,na ndio Chadema wanawatumia kwa kuwaambia watakaa milele katika streets. hawa na kina Yericko ndio wanaopigiwa ngoma wasiyoijua mnahitataji :help: hii ndio ngoma yenu tokomile si tokomile 😛oa:lock1::director::yield::yo::kev:
 
Politics is a game of numbers.

Miaka minne iliyopita kulikuwa na wagombea tofauti, marehemu mzee Sumari alimshinda Nasari. Hii haimaanishi mtu yeyote kutoka CCM angemshinda Nasari.

Tatizo siyo daftari la wapiga kura, tatizo ni kumsimamisha mgombea anaependwa na wengi. Ile process ya primary voting ikiingiliwa, basi kuna uwezekano wa kupoteza kiti. Na primaries za CDM zipo too centralized.

Kilichofanya CCM ni decentralization of primary voting .... matokeo ni wagombea wanaokubalika.

Hayo mambo ya madaftari is nonsense, acheni.

Kobello i concur with you kuwa decentralization ndio mbinu ya ushindi.

Sasa ni wapi CHADEMA kilipofanya centralization kwenye mchakato wa primary?

Maana uteuzi ulifanyika huko huko kwenye kata na level za juu yake zikabariki tu

Labda ulete concrete data to back up your claim.
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana kauli yangu isiwaingie watu masikioni mwao kabisa, lakini nitawaeleza japo kwa kifupi.

Katika siasa kuna kitu kinaitwa siasa za jumla (general political) na siasa za kijiografia (geography political)

General political inahusu mambo yanayohusu siasa za kitaifa bila kuchagua chama au itikadi na hizi mara nyingi husimamiwa kwa katiba, kanuni na sheria za nchi, hapa inahusiana pia na daftari la wapiga kura na tume ya uchaguzi,

Geography political inahusu siasa za eneo husuka, kuna international gp, na domestic gp,

Katika hayo Chadema ime win kwenye Gp-D kwa asilimia zaidi ya 90%, hili linatokana na chama kushiriki uchaguzi kwa miaka yote huku mambo muhimu yanayopaswa kufanywa kwenye General Political yakiwa doro kabisa, mambo hayo ni kama tume kuwa huru, daftari la wapigakura kuboreshwa, na dola kuvuruga chagizi nyingi kwa maslahi ya ccm.

Takwimu za chaguzi hizi zinatoa sura stahiki ya ubora wa domestic political ya Chadema,

Mathalani uchaguzi huu Chadema ilikuwa ikitetea kata 3, za Nyaisura, Kiborloni na Mikol.. Kigoma.

Tumepoteza Nyaisura, na Kigoma, na Tumeipoka ccm kata za Sombetini na Njombe.

Tamani ya kata ilizoshinda chadema nikubwa kuliko ccm, kubeba kata ya njombe ni turufu kubwa, vivyo hivyo kata ya sombetini. CCM hawajaongeza thamani yoyote ya kata,

Kwa lugha nyingine nikuwa CHADEMA 0-0 CCM, lakini CHADEMA wananafasi ya golden goal kwakubeba kata ya Njombe ambayo kwanza inafuta propaganda za ccm yakuwa chadema ni chama cha ukanda, sasa tunashuhudia Chadema sio chama cha ukanda tena bali chama cha kitaifa na kila pembe ya jamhuri hii.

Izingatiwe kuwa oparesheni Pamoja Daima haikuwa maalumu kwaajili ya uchsguzi huu bali sehemu ya ratiba ya chama katika kutoa elimu ya umma kudai/kuhimiza uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Naamini hapo mmenipata ndugu zangu mnaojenga hoja dhaifu kuwa kama dhana ni daftari la wapiga kura na polisi why kwingine chadema imeshinda?

Tuheshimiane jama.
 
Kobello i concur with you kuwa decentralization ndio mbinu ya ushindi.

Sasa ni wapi CHADEMA kilipofanya centralization kwenye mchakato wa primary?

Maana uteuzi ulifanyika huko huko kwenye kata na level za juu yake zikabariki tu

Labda ulete concrete data to back up your claim.
Centralization siyo lazima iwe constitutional.

Siyoi vs Kaaya, Arumeru.
Kyondo, Njombe mjini. Ni matokeo ya centralization of primary voting.

Jaribu kuchunguza au kusikia malalamiko Iringa. Then utajua mmepoteza kwa sababu gani.

Halafu, propaganda machine ya CDM ipo too biased, uongo umezidi inabidi wawe wakweli.
 
Inawezekana kauli yangu isiwaingie watu masikioni mwao kabisa, lakini nitawaeleza japo kwa kifupi.

Katika siasa kuna kitu kinaitwa siasa za jumla (general political) na siasa za kijiografia (geography political)

General political inahusu mambo yanayohusu siasa za kitaifa bila kuchagua chama au itikadi na hizi mara nyingi husimamiwa kwa katiba, kanuni na sheria za nchi, hapa inahusiana pia na daftari la wapiga kura na tume ya uchaguzi,

Geography political inahusu siasa za eneo husuka, kuna international gp, na domestic gp,

Katika hayo Chadema ime win kwenye Gp-D kwa asilimia zaidi ya 90%, hili linatokana na chama kushiriki uchaguzi kwa miaka yote huku mambo muhimu yanayopaswa kufanywa kwenye General Political yakiwa doro kabisa, mambo hayo ni kama tume kuwa huru, daftari la wapigakura kuboreshwa, na dola kuvuruga chagizi nyingi kwa maslahi ya ccm.

Takwimu za chaguzi hizi zinatoa sura stahiki ya ubora wa domestic political ya Chadema,

Mathalani uchaguzi huu Chadema ilikuwa ikitetea kata 3, za Nyaisura, Kiborloni na Mikol.. Kigoma.

Tumepoteza Nyaisura, na Kigoma, na Tumeipoka ccm kata za Sombetini na Njombe.

Tamani ya kata ilizoshinda chadema nikubwa kuliko ccm, kubeba kata ya njombe ni turufu kubwa, vivyo hivyo kata ya sombetini. CCM hawajaongeza thamani yoyote ya kata,

Kwa lugha nyingine nikuwa CHADEMA 0-0 CCM, lakini CHADEMA wananafasi ya golden goal kwakubeba kata ya Njombe ambayo kwanza inafuta propaganda za ccm yakuwa chadema ni chama cha ukanda, sasa tunashuhudia Chadema sio chama cha ukanda tena bali chama cha kitaifa na kila pembe ya jamhuri hii.

Izingatiwe kuwa oparesheni Pamoja Daima haikuwa maalumu kwaajili ya uchsguzi huu bali sehemu ya ratiba ya chama katika kutoa elimu ya umma kudai/kuhimiza uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Naamini hapo mmenipata ndugu zangu mnaojenga hoja dhaifu kuwa kama dhana ni daftari la wapiga kura na polisi why kwingine chadema imeshinda?

kaka umegeuka Tambwe Hiza. Aka The Spin Master. Hata DJ Mbowe hakufikii mwanangu.

utawapata tu.

Peopleeeeez.
 
mmepigwa 24 - 3 halafu unakuja na viporojo vyako visivyo na kichwa wala mguu!
 
Kwanza English .... umekosea.

Halafu Geography na General politics sijawahi kusikia categorization hii (according to who?) na explanation yako haitoshelezi, ni kama umechanganya zaidi.

Mwisho kabisa, hiyo 90% ni lazima uelezee umeipataje otherwise anybody can come up with a number. Usitumike, utadharaulika.

Kwanza kukosea herufi za kizungu kwangu mimi na wewe (waafrika) sio hoja,

Pili nashukuru umekiri wazi kuwa siasa za jumla na jiografia ya siasa huzijui, hilo ni jambo jema kwangu kwakuwa limenipunguzia mzigo wakukufundisha.
 
Variable factors katika aspect mbalimbali za uchaguzi



1😀aftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010

Well said,

Kuna watu wanashindwa kuona hili.
 
Mi nadhani matokeo ya uchaguzi huu hayaondoi ukweli kuwa ccm imezeeka na imeshindwa kutimiza matakwa ya watanzania. Mifumo hovyo ya uchaguzi hasa daftari la wapiga kura imesababisha sura hii ya matokeo. Furaha ya ushindi wa mchezo wa bao huishia hapo hapo mchezoni.
 
Centralization siyo lazima iwe constitutional.

Siyoi vs Kaaya, Arumeru.
Kyondo, Njombe mjini. Ni matokeo ya centralization of primary voting.

Jaribu kuchunguza au kusikia malalamiko Iringa. Then utajua mmepoteza kwa sababu gani.

Halafu, propaganda machine ya CDM ipo too biased, uongo umezidi inabidi wawe wakweli.

Umemaliza kila kitu bro.
 
Inawezekana kauli yangu isiwaingie watu masikioni mwao kabisa, lakini nitawaeleza japo kwa kifupi.

Katika siasa kuna kitu kinaitwa siasa za jumla (general political) na siasa za kijiografia (geography political)

General political inahusu mambo yanayohusu siasa za kitaifa bila kuchagua chama au itikadi na hizi mara nyingi husimamiwa kwa katiba, kanuni na sheria za nchi, hapa inahusiana pia na daftari la wapiga kura na tume ya uchaguzi,

Geography political inahusu siasa za eneo husuka, kuna international gp, na domestic gp,

Katika hayo Chadema ime win kwenye Gp-D kwa asilimia zaidi ya 90%, hili linatokana na chama kushiriki uchaguzi kwa miaka yote huku mambo muhimu yanayopaswa kufanywa kwenye General Political yakiwa doro kabisa, mambo hayo ni kama tume kuwa huru, daftari la wapigakura kuboreshwa, na dola kuvuruga chagizi nyingi kwa maslahi ya ccm.

Takwimu za chaguzi hizi zinatoa sura stahiki ya ubora wa domestic political ya Chadema,

Mathalani uchaguzi huu Chadema ilikuwa ikitetea kata 3, za Nyaisura, Kiborloni na Mikol.. Kigoma.

Tumepoteza Nyaisura, na Kigoma, na Tumeipoka ccm kata za Sombetini na Njombe.

Tamani ya kata ilizoshinda chadema nikubwa kuliko ccm, kubeba kata ya njombe ni turufu kubwa, vivyo hivyo kata ya sombetini. CCM hawajaongeza thamani yoyote ya kata,

Kwa lugha nyingine nikuwa CHADEMA 0-0 CCM, lakini CHADEMA wananafasi ya golden goal kwakubeba kata ya Njombe ambayo kwanza inafuta propaganda za ccm yakuwa chadema ni chama cha ukanda, sasa tunashuhudia Chadema sio chama cha ukanda tena bali chama cha kitaifa na kila pembe ya jamhuri hii.

Izingatiwe kuwa oparesheni Pamoja Daima haikuwa maalumu kwaajili ya uchsguzi huu bali sehemu ya ratiba ya chama katika kutoa elimu ya umma kudai/kuhimiza uboreshaji wa daftari la wapiga kura.

Naamini hapo mmenipata ndugu zangu mnaojenga hoja dhaifu kuwa kama dhana ni daftari la wapiga kura na polisi why kwingine chadema imeshinda?

Haya ni mawazo ya kipwagu na pwaguzi
 
Variable factors katika aspect mbalimbali za uchaguzi



1😀aftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010

Unahangaika na hili bandiko kama tetea anataka kutaga! Mbona kabla ya uchaguzi hukulileta?
 
Kwanza kukosea herufi za kizungu kwangu mimi na wewe (waafrika) sio hoja,

Pili nashukuru umekiri wazi kuwa siasa za jumla na jiografia ya siasa huzijui, hilo ni jambo jema kwangu kwakuwa limenipunguzia mzigo wakukufundisha.
Hujakosea herufi, umekosea maana nzima.
Yaani mantiki yote haieleweki ... labda ulitaka kufafanua LOCAL POLITICS na kusema kuwa kuna geographical "issues" na general "issues"?
 
kaka umegeuka Tambwe Hiza. Aka The Spin Master. Hata DJ Mbowe hakufikii mwanangu.

utawapata tu.

Peopleeeeez.

Sina uhakika kama ninafanana na Tambwe Hiza, lakini kama ninafanana nae itabidi nijichunguze,


Nimetoa maono yangu kisayansi zaidi ndiomaana nikatoa angalizo kuwa huenda nisieleweke kwa wengine
 
vijana mil 5 unusu wanasubiri kujiandikisha , katiba mpya ikija na MUUNDO MPYA WA TUME YA UCHAGUZI , huo ndiyo UTAKUWA mwisho wa ccm mkuu ,HAWA POLISI wengi sana ni wanaCDM , hata CCM wenyewe wanajua , wanamtUMIKIA KAFIRI TU ILI MKATE WAO WAUPATE .

Kwa hiyo hao million tano wote ni chadema?
 
Duu nimecheka sana niliposoma hii thread ya Yerricko kwani hajuwi anachokiandika kabisa! Yaani sijuwi Kama anajua maana halisi ya Geography na General political!

Soma Brendan McSherry na Wolter Issy utaelewa vizuri sana kwenye vitabu vyao vya Politics of the South!

Duu shule muhimu sana ndugu yangu na Yerricko uache kuandika mambo ya kusadikika sana maana unadharaulika sana humu JF
 
Hahaha nilitegemea bandiko la namna hii kutoka kwako.

Hizi ni ndoto za mchana kabisa.
Nakuha kikishia 2015 mtapoteza majimbo si chini yamatatu.
 
Hujakosea herufi, umekosea maana nzima.
Yaani mantiki yote haieleweki ... labda ulitaka kufafanua LOCAL POLITICS na kusema kuwa kuna geographical "issues" na general "issues"?

Mkuu wangu Kobello,

Nafurahi kuona unalijua hilo, lakini tunatofautia kidogo tu huenda ni uelewa wetu ama mwalimu wetu wa sayansi ya siasa hasa kwenye kitivo cha poitical intelligence and ST.

Mimi nikishamaliza kuitambua local political ninavuka mbele zaid na kuifikia GP na DP hizo ni nera za siasa zikienda sambamba na diplomasia ya siasa.
 
Back
Top Bottom