utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Na wewe ni maiti umaiti wako watakwambia wanaokufahamu.
mjibu kwa hoja mkuu. yeye ametoa maelezo yake kamili japo mafupi yakiwa na hoja. usibwabwaje
Na wewe ni maiti umaiti wako watakwambia wanaokufahamu.
View attachment 147226Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
View attachment 147226Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
mokili ya Nzambe kanda ya nini papa?
Bavicha kwa matusi mpo juu
Hii ni kweli kabisa si mchezo!View attachment 147226Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
mkuu hii ni kichaga au kimbulu
mjibu kwa hoja mkuu. yeye ametoa maelezo yake kamili japo mafupi yakiwa na hoja. usibwabwaje
chadema bila Zitto kabwe haina nguvu.
washkaji wamevuta midomo huku ndita kweli kweli, picture means a lot
washkaji wamevuta midomo huku ndita kweli kweli, picture means a lot
hawa cdm hawana chao chadema bila zitto ni makapi
Kasi ipi hiyo? Ya kukataliwa na wananchi?Mtoto mdogo akiona picha mbaya za vitisho katika tv akilala ni full kuweweseka,kwa CCM wameona taswira halisi la CDM,inakuja kwa kasi kuwakomboa Watanzania,mnawewesekaa,CCM mmekalia kitu chenye ncha kaliiii,maji mtaendelea kuita mma!
Kasi ipi hiyo? Ya kukataliwa na wananchi?
View attachment 147226Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu