Jikite katika hoja mkuu. Tunasema chadema imejikatia tamaa
chadema bora wamuombe msamaha zito mapema la sivyo hii saccos ya mtei tutaisahau
Usiku wote huu haulali na mkeo ujadili mambo ya familia unaota Chadema, Ifweero ovyo kabisa.
Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
naona magamba hapa mmekaa mnafarijiana hapa,cdm hii ambayo naijua mimi haiwezi kuffa hata siku moja bali inazidi kuchanua kwa kasi killa siku
Mbona unatokwa povu jingi hivi mkuuAcha kudanganya watanzania kwa mahaba yako wewe.Taifa linapambana na katiba wewe unaleta porojo watu wengine bhana mnamatatizo.hayo ni maoni yako siku yakikugeuka utatuambia nini hapa? Acheni kutudanganya.kama ni ushindi ccm watashinda lakini kuwadanganya watu kwamba kimekata tamaa ni mahaba yako tu.subiri wamalize katiba utanikumbuka maneno yangu
Kabwe, kiongozi aliyeipa chadema umaarufu, yeye ni maarufu kuliko chama.zitto yupi?
Mbona unatokwa povu jingi hivi mkuu
Team work mkuukama mnajua chalinze wanaenda kusindikiza mbona mmejaza viongozi tele! Kuanzia shinani mpaka taifa....
Kama mnajiamini mngemwachia Ridhi one awe peke yake na watu wa jimboni .... Kijana hata kusema hajui...
Ccm inashinda sehemu ambazo bado ni wajinga wajinga, kama chalinze.....
Umeongea kiutaifa sana mkuu, bravo....Tushikamane pamoja tuandike katiba mpya yenye maudhui mapana kiongozi haya mambo ya kivyama weka pembeni kwani hakuna shaka tar.6/4/14 Ridhiwani atakuwa mbunge wetu wanachalinze.
Mimi hutanielewa nimesimama kwenye nchi kwanza muda wa uchaguzi ukifika tutafanya siasa.kazi ni kwako wewe kuchukua hatua.
Umeongea kiutaifa sana mkuu, bravo....
Wewe ndiye mropokaji hadi kwenye uandishi...k.eng.e mkubwa!Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...
Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
Ridhiwani huyu huyu ambaye Goba juzi kagoma kuomba kura sababu tu hawajamjengea kibanda cha kuhutubia asipigwe na jua leo hii anachaguliwa?kiongozi haya mambo ya kivyama weka pembeni kwani hakuna shaka tar.6/4/14 Ridhiwani atakuwa mbunge wetu wanachalinze.
Ridhiwani huyu huyu ambaye Goba juzi kagoma kuomba kura sababu tu hawajamjengea kibanda cha kuhutubia asipigwe na jua leo hii anachaguliwa?
Chalinze Jimbo alilololiongoza JK kwa miaka 15 lkn kwa elimu duni waliyo nayo mhitimu wa STD 7 anasifiwa kama msomi!