CHADEMA imekata tamaa, imekubali yaishe

CHADEMA imekata tamaa, imekubali yaishe

ifweero

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
7,957
Reaction score
1,341
image.jpg Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...

Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
 
Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...

Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu

Chadema ilikuwa zamani, hivi sasa watanzania wamekipuuza baada ya kugundua kuwa ni wajasiriamali wa kisiasa
 
Inahitaji uwe na akili ya maiti kuishabikia chadema
 
Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...

Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu


mkuu umekosea heading ilitakiwa kuwa chadema ilikufa bado kuzikwa tu
 
naona magamba hapa mmekaa mnafarijiana hapa,cdm hii ambayo naijua mimi haiwezi kuffa hata siku moja bali inazidi kuchanua kwa kasi killa siku
 
Hivi chadema bado ipo? Tangu Wassira aseme hiki chama kitakufa kisiasa naona mwendo ndio huo kila kukicha.
 
Karibu sana Mlimba katikati ya april tuna sherehe kubwa ya ufunguzi wa ofisi ya CHADEMA tulioijenga kwa nguvu zetu.
 
Ni mtu ameona amepost.. Kitu cha maana hapo.. Wabongo ni watu wajinga sana ..si bora ukae kimya kama huna cha kuandika
 
Naona wezi wa mali ya uma wanasapotiana huku,ngoja tusio na mkono mrefu na tusiojua bei ya unga tukae pembeni.
 
Ni ukweli ulio wazi na usiopingika kuwa kasi ya uporokaji wa chadema ni kubwa mno kiasi kwamba chama hicho kimejikatia tamaa. Kimezongwa na matukio ya tishio la kusambaratika na hivyo kupelekea kudhoofika hali iliyowafanya viongozi na wanachama wake wakubali yaishe...

Baada ya vululu vululu ndani ya chama, ikaja chopa tatu, kata tatu..hivi punde wameangukia pua kalenga na sasa wameamua kuwa wasindikizaji chalinze...wanaifukuzia nafasi ya pili au ya tatu
tunakutakia kila laheri katika uongozi wa kifamilia am so unahisisha familiar ya Makamba,Kikwete,Wassira,Kingunge,na engine wengi,tunakubaliana na mbinu zenu mbovu lakini umaskini kuuondoa mmeshindwa,mikataba mibovu,kukwepa kodi,lakini rekebisheni daftari ndio muweze kuhitimisha kuwa kweli uhalisia uko wapi,for your information system ndo mbovu lakini ccm ni ya waliokata tamaa ya mabadiliko.
 
Chadema ilikuwa zamani, hivi sasa watanzania wamekipuuza baada ya kugundua kuwa ni wajasiriamali wa kisiasa

Acha kudanganya watanzania kwa mahaba yako wewe.Taifa linapambana na katiba wewe unaleta porojo watu wengine bhana mnamatatizo.hayo ni maoni yako siku yakikugeuka utatuambia nini hapa? Acheni kutudanganya.kama ni ushindi ccm watashinda lakini kuwadanganya watu kwamba kimekata tamaa ni mahaba yako tu.subiri wamalize katiba utanikumbuka maneno yangu
 
Back
Top Bottom