Ludovick anaweza kuwa na ubaya mkubwa kuliko ubora, na akawa mdanganyifu kambambe kulilko ukweli. Lakini hata jambazi siku inafika anakumbuka kulia 'mama yangu', mama ambaye kamuasi na kuyakataa mafundisho yake.
Umemshauri vizuri, kwamba aanze kutoa ushauri bora kwa ccm kama wanamsikiliza na kumwamini.
Upande mwingine, taarifa anayotoa si ya kuikubali moja kwa moja na wala si ya kuidharau moja kwa moja. Si vizuri kuamini kila kitu lakini pia ni vyema kutokudharau taarifa. Ludovick, hata kama ana mkataba wa uharamia na kundi lolote kwa ajili ya tumbo, huyu ni binadamu mwenye dhamira na nafsi ambavyo mara zote huwa vina nguvu ishindayo fedha, njaa na hata uchungu wa kifo.
Inteligencia na uongozi msikilizeni. Wasilianeni naye awaambie anachotaka mkifahmu, nanyi mkichunguze mpate ukweli. Si lazima kila kitu kiandikwe hapa mtandaoni. Hakuna hasara ya kujiridhisha kwamba anawadanganya kulioko majuto ya kudharau taarifa.
Mohamed Mtoi ni mwanachama na mtendaji wa chama aliyekabidhiwa majukumu na anayatimiza kadri inavyotakiwa.
Yuko anatimiza majukumu yake kwa chama kama kawaida. Anatimiza wajibu wake kama mwanachama. Anawajibika kama mtendaji kwa kadri ya nafasi yake.
CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku kutoka kwa CCM na washirika wao (its cronies as I normally write).
Mleta mada anayo fursa nzuri ya kupeleka ushauri wake CCM ambako bila shaka wanamwamini zaidi kama sehemu ya vijana wao.
Mleta mada huyu angeshauriwa atumie fursa aliyonayo ya mawasiliano ya siri na wazi (kama alivyofanya hapa), aungane na wenzake kwenye lile tawi jipya la CCM, kuwapatia ushauri kama huu watu wa Lumumba au pale White House Dodoma.
Awashauri badala ya kufungia magazeti wafanyie kazi facts zinazosemwa na Magazeti mathalani tukio la kutekwa, kuteswa na kutaka kuuwawa kwa Dkt. Ulimboka.
Awashauri kuwa waache kufanya au kupalilia mauaji kisha wanawatuma mawakala wao kusema Ni Chadema.
Alipaswa awe amewashauri 'wenzake' wafanye uchunguzi wa kina na kuchukua hatua kwenye
Taarifa hii ifikishe kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe...
Nyinyi mnaojiita wanasiasa wa Tanzani ni bure kabisa, yaani ni uchwara...
Mnaandika andika tu mambo ya ajabu humu kuwachanganya watu...
Hivi ngoja nikuulize, ina maana hujui taratibu stahiki za kulibainisha jambo kama hili?
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake.
Taarifa hii ifikishe kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe...
Nyinyi mnaojiita wanasiasa wa Tanzani ni bure kabisa, yaani ni uchwara...
Mnaandika andika tu mambo ya ajabu humu kuwachanganya watu...
Hivi ngoja nikuulize, ina maana hujui taratibu stahiki za kulibainisha jambo kama hili?
Ni kweli kamanda Ritz hata zitto na wenzake Kina mwigamba walianzishiwa zengwe kwa style hii hii na Kina Slaa walikuwa wana like habari zile hapa jamvini sasa zamu kwa zamu,pale cdm hatakiwi mtu kuwa mkubwa au na sifa zaidi ya Dj mbowe na Baba junior lazima wakushushe,
Kweli unafiki hauna aibu. Kwa hiyo viongozi wa Chadema wamemtuma mtu wa ACT (Ludo) kumpelekea Mtoi ujumbe? Kumbe nyie mnaandika kwanza kisha kufikiri baadae. Nimekudharau sana, hicho sio kiwango cha JF hata kidogo.Mkuu Ritz Lazima Mtoi ataelewa tulichokuwa tunamwambia maana lazima ataambiwa aliandaa waraka!
Siku si nyingi Lissu atatoa tamko la kumfukuza!
Ludo Vick ametumwa kumfikishia ujumbe ajiandae.
Mkuu Elli unapoteza muda wako kulihoji hilo Zoba. Huyo amezoea kuishi maisha ya uongo uongo tuu. Unakumbuka alivyo danganya kuwa alitekwa siku ile Kibanda anavamiwa? Eti wakamvua nguo na kumpakia kwenye Bajaji. Labda angesema na hizo nguo walimvua ili wamfanyeje au walimfanya nini tungemwelewa.Historia yake unayozungumzia inaanzia wapi? maana mimi nimekua nae tangu utotoni, chekechea pale Chuo Cha CCM ( Now Institute of Judicial Administration - IJA), Baba yake akiwa ni rafiki mkubwa wa Baba yangu na familia kwa ujumla, baadae tukasoma wote Shambali Sekondary kisha Magamba Sekondari ( now ni Sebastian Kolowa University) namfahamu vizuri, kwa kiasi hicho
nIMESHAONGEA NA Mohamedi Mtoi AMESEMA HAKURUPUKI KWENYE KUJIBU, ATAKUJIBU TU KWA KUTULIA HAPO UTAKAPOKUWA UMEWEKA USHAHIDI WAKO MAANA HII STORY IKO HEWANI HEWANI SANA
CHAMVIGA TULIA ANAKUJA MANI na zumbemkuu hebu njooni huku msikilize Mgosi anatetwa
post za kimkakati toka ACT
hii ni ya pili baada ya comment ya jana kwenye uzi wa kum attack Saanane
Zzk alikua cdm kwa miaka2 ya mwanzo ya ubunge wake then baada ya hapo akahamia ccm huku akijificha kwenye kwapa la cdm huyo kwetu ni msaliti na hatufai kabisa.