CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Pasco kamanda mbowe alisema hata yeye akiondoka maiti yake iwekwe pembeni na mabadiliko yaendelee hamna jinsi ni kukubali ya muumba na kuendelea na yetu. R I P kamanda
 
Last edited by a moderator:
Pasco fafanua plz...maana nimesoma trend nzima ya huu uzi,sioni sehemu ushauri unaoendana na ajali ya jana kutolewa
Nisome kwa makini....

Big No Please!, msilete dhihaka na mizaha kwenye majonzi! mnaongeza machungu badala ya faraja, tuwe na utu wa kushehimu utu wa mtu, msitake kupanda mbegu za chuki kwa watu!, mwenye uwezo wa kutoa roho ya mtu ni Mungu pekee!.

"The dead man tells no tells!, we should always talk good about the dead!.
Mtu akiishatangulia mbele ya haki, please tumzungumze kwa wema!.

Sisi wana jf we are different, lakini pia we are one katika makubwa ya msingi!,

Plea
se lets be one katika hili!.

Rip Kamanda Mtoi!.

Pasco
 
Joseph Ludovick - Kibanda - Mtoi ???? Ifikie wakati kama serikali yetu chini ya vyombo vya usalama iwe inafuatilia kwa makini baadhi ya maandishi ya hawa watu kwani hapa ludovick hajaweka wazi nini anamaanisha kwa hiyo kwa kuwa tukio kubwa limetokea kwa kamanda Mtoi (R.I.P) basi ni vema akakamatwa na kuulizwa hapa alikuwa anamaanisha nini? tunajua Kipenzi chetu Mtoi inaonyesha ni ajali imesababisha kifo chake lakini ajali zipo za aina nyingi zingine za kutengenezwa pale tukio linapokuwa limefanyika Ref. Chacha Wangwe.

R.I.P kamanda Mtoi wewe mbele yetu na sisi tunafuata nyuma yako mungu akupe pumziko la milele na ni tumaini langu Ndugu na jamaa atawaondolea machungu kwa kuondoka kwako na familia yako Mungu atailinda na kuipa faraja na neema ....Aaamen.
 
Haka kajamaa ni shida sana.

Inabidi katekenywe kidogo tupate jua amekuwa Israel nini?
 


wanabodi, nafanya tuu rejea, niliwahi kuwashauri nini Chadema kuhusiana na baadhi ya malaika wao ambao ni mashetani!.
Ushauri huu niliutoa 25th August 2014.

Kwa ushauri huu, watu humu ndani waliniita mimi ndio shetani!.

Thank
s God, Mungu ameanza kuwaonyesha nani malaika, nani shetani!.

Rejea kama hizi zinatu
saidia kukumbuka, nini kilisemwa lini, na nini kimetokea lini, hivyo next time, kitu kikisemwa, kisipuuze!.

siku zote nasisitiza humu, ni ukweli pekee tuu ndio utasimama mpaka mwisho!.

[h=3]CHADEMA msipuuzie ushaur!i[/h]Pasco
Pasco bingwa wa kuona maovu ya wengine....bingwa wa kuunganisha mambo....unaweza dhani yuko smart sana kumbe la!!!....big up sana kwa mkuu kapata progandalist la karne
 
Last edited by a moderator:
[SIZE=3
Even the devil, sometimes does good deeds, msipuuze tena ushauri wowote!.

Asante [/SIZE]

Pasco

mkuu acha kukufuru shetani hawezi fanya jema hata siku sekunde...labda kwa akili yako ukadhani anakufanyia jema kumbe unaingizwa kwenye mtego.....

mifano kama hii ya ikijumuishwa na ile ya eti tutaingia makataba hata na shetani kuitoa ccm unaleta inaleta laana tuu!!
 
Kuna kaharufu kama ka Late Wangwe...napata ukakasi kidogo
 
Mbona sijaelewa mkuu? kwani kifo cha kamanda Mtoi kina utata mahali.? Ushauri gani ulitolewa ambao ungeweza zuia ile ajali ya jana? sijaelewa
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI
 
Mwaka huu na majira na msimu huu itabid tuseme msemo mmoja wa marekani.

Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesh a Ulimwengu Kuwa Marekani ni ya Kila Mtu.

Na sisi watanzania Kwa Umoja wet bila kujali tofauti zetu ndogo nyakati hizi ni nizakusema haijalishi kama Lowassa ataleta Maendeleo au la! ni wakati wa kumchagua LOWASSA wa CHADEMA/ UKAWA ili pia pamoja na ILANI elimu bure, katiba mpya, kufungua mawasiliano hasa reli ya kati pia uuonyesha na kuudhihirishia Ulimwengu kuwa Tanzania Siyo ya cicimu pekee.

Tuma ujumbe huu kwa Watanzania wasiopungua 1000 ili kuamsha na kuchochea mabadiliko ya kweli. Fursa hii ya Mabadiliko tukiipoteza itatuchukua miaka 30 tukikumbuka Mwaka 2015 tulijinyima mabadiliko ya katiba, mfumo, maendeleo.

Lowasa Mabadiliko
Mabadiliko Lowassa.

Samahani pia kama utakwazika imebidi kuonyesha Uzalendo kwa Taifa letu lenye miaka 54 ya Uhuru.

Maajabu likipitwa na hata jirani zetu Kenya aliyepata Uhuru kwa kuchelewa miaka 3 sasa ametupita kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, kiuchumi, Katiba Mpya,nk.

Na hata Rwanda iliyotoka vitani miaka ya 90 inatupita ingawa sisi ndio tuliowahi pata Uhuru, kujaliwa Rasilimali hata zisizo duniani mpaka zikaitwa majina yetu kama Tanzanite, mito, maziwa, Bahari-Bandari, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba rasilimali adimu duniani ili tuanze kukimbia badala ya kutambaa kimaendeleo.

Yaan watu wanajadili msiba wewe unaleta utumbo wako?jipime
 
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

Kwa nin mtoi kwa maslahi gani?
 
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

huu msiba utakuwa umetawaliwa na kila aina ya utata kutokana na mtiririko wa thread hii...any way nisiseme sana ila R.I.P
 
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

Sababu ya kifo chake?
 
Kama haiana maana vile, Rip kamanda Mtoi sijajua itakuweje sasa kamanda katutoka hakuna mwingine wa kusimamia mchakato?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom