Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,932
- 30,045
Mbona sijaelewa mkuu? kwani kifo cha kamanda Mtoi kina utata mahali.? Ushauri gani ulitolewa ambao ungeweza zuia ile ajali ya jana? sijaelewa
Ludo mtu mbaya sana, hata hapa naandika nishaanza kuhofia