CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

CHADEMA imchunguze Mohamed Mtoi

Status
Not open for further replies.
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

kama ni kweli basi siasa ni mchezo mchafu.
 
Hivi Ludovick ni huyuhuyu mwalimu wa DUCE au mwingine?
 
Wana mabadiliko, haya matuhuma mazito mazito ndani ya CDM si ya kuyapuuza. Kuna kila sababu ya kutafakali mara mbili misimamo yenu kama kile kinachoimbwa na viongozi wenu ndicho kipo katika dhamira zao.
Nachelea isije ikawa wana malengo ya kuitengeneza Somalia yao, nchi ikose serikali imara ili wao waendelee kuiba rasilimali.
Tutakuwa na faida gani kuiondoa CCM na kuleta anarchy?
 
Mtoi aliandika na kukanusha hayo aliyoyasema ludo
Ntakuwa mjinga ukiniambia cdm wanahusika au ni mgogoro wa ndani
Tangu juz mipango ya siri inaendelea ya kudhoofisha nguvu ya ukawa sichelei kusema ni mpango wa kijinga uliotegwa
uchunguz ndani ya taatifa hiz za kifo na maisha yake ni ushaid kuwa ni mpango
Inaashiria kulikuwa na gari mbele ya eneo alilopata ajali
Nadhani gar hilo lilikuwa na snipers kama wale wa enz hizo barabara ya mbya
Kuna threats zilitokea kabla na siku ya tukio
Ajal ya mbunge wa cuf hata we ungesema angepona Kwa kudra tu
Gar la mtoi kifo ni maigizo
Tukazike tuendelee na kampen
 
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

kaka usiongee kitu ambacho haukijui.Mwacheni mtoto wa watu apumzike hayo mengine hayana maana kwa sasa...dereva wa gari alikua mwendo kasi na na alikua amekunywa.barabara ina kona kali sana na za ghafla so gar ili mshinda ikadondokea bondeni yani ilibingilika zaid ya mara 7 mpk ikafika huko bondeni,km unayajua mazingira ya lushoto hauto pata shida kunielewa.tembea kaka uijue tanzania sio una ng'ang'ana tu na Mtwara tu....
 
Huu Ushauri sidhani kama ulichukuliwa maana Tumaini Makene alishasema Chama hakina utaratibu wa kuchukua Ushauri kwa namna hii

Mkuu heshima Kwako

Ushauri wa Ludo ulikuwa ni as if Kamanda Mtoi (RIP) ndio hatari kwa Chama na asiachiwe awe alone na Mbowe aka Dr Slaa
Sasa hapa nani angedhurika kwa ushauri huu,Mtoi ama Mbowe /Slaa ?
Tulitaka CHADEMA baada ya hapo waanze kumlinda Mtoi ?
Mkuu Mtoi ametutoka katika kipindi ambacho Chama na wapenda Mabadiliko wanamhitaji kuliko kipindi Chochote
Mtoi ataendelea kubaki kuwa Symbol na Icon ya Mabadiliko katika Mkoa wa Tanga,CCM walikuwa wanamhara sana huyu Jamaa.
Mungu amlaze Mahala pema Peponi
 
Last edited by a moderator:
Just I'm saying...dont quote it...Ni kwamba Marehemu Mtoi alimkhusisha huyu Ludovick kwamba ana njama amfanyie ubaya na Mtoi akaweka wazi hapa kwamba nia yako mbovu itashindwa!! Kwakuwa Ludovick anatuhumiwa kupanga njama za Kigaidi kuwashambulia wanaChadema, Huyu Tumaini Makene alipewa tahadhali kwamba kutokana na huu uzi wa Mtoa Mada basi huyu Mtoi inabidi apewe Ulinzi wa Kutosha..(ushauri ambao haukufuatwa)!! Mazingira ya Ajali ya Mtoi yana taswira ya Umafia!! Aliwarudisha wenzake akabaki pekeyake kwenye gari akirudi nyumbani, Ukiangalia lile gari alilopata ajali kwa mtu makini ataona ni miujiza mtu kufa pale!!(Gari imevunjwa vioo tu) Uchunguzi huru Ufanywe!! Pasco

RIP KAMANDA MTOI

Hapana Mkuu
Maudhui ya Uzi ni kuwa ulikuwa unawa alert CHADEMA kuwa Mtoi was a bad Man
Kifo cha Mtoi na Maudhui ya huu uzi haviendani kabisa.
Ni upuuzi kutaka kumpa Crediti Msaliti Ludo
 
Naona watu wanaupotosha uzi...kwa mara nyingine tena watu wanahamisha magoli ili waweze kufunga kwa urahisi. Marehemu ndiye alituhumiwa kuwa ni hatari kwa viongozi wa chama, na yeye amemjibu vizuri mtoa post.
Kama kuna wa kunyooshewa kidole hapa ni Ludovick, lakini watu wanamlaumu Tumaini Makene kwa kutochukua hatua, ni hatua gani? Labda Pasco uliyeenda kuufukua huu uzi na kuutengezea mfereji mpya utuambie ni kipi unachokusudia maana nimeona kama unasikitika 'kupuuzwa'. Ulipuuzwa kwa lipi? Au uliongea kipi?
 
Last edited by a moderator:
Ushirikishi unaishia kwenye 'counter' lakini 'intelligence' hiyo hushirikishwi labda kwa kuhojiwa tu.

Police wasingekuwa wamechukua upande, kama wale wa makaburu afrika ya kusini kipindi cha ubaguzi, wananchi wangeridhika na majibu yeyote yatokanayo na hicho unachokiita intelijensia!
 
kaka usiongee kitu ambacho haukijui.Mwacheni mtoto wa watu apumzike hayo mengine hayana maana kwa sasa...dereva wa gari alikua mwendo kasi na na alikua amekunywa.barabara ina kona kali sana na za ghafla so gar ili mshinda ikadondokea bondeni yani ilibingilika zaid ya mara 7 mpk ikafika huko bondeni,km unayajua mazingira ya lushoto hauto pata shida kunielewa.tembea kaka uijue tanzania sio una ng'ang'ana tu na Mtwara tu....

Hahaaaa Chinga One mambo vp.... Nashukuru kwa ushauri wako lakini nataka nikujuze lile gari dereva alikuwa Marehemu, nobody else was there inside the car.... Tunavyoomba uchunguzi huru hatumuongelei tena marehemu ila hawa waliopo duniani.... Mazingira yanaonyesha kulikuwa na gari ingine in front
 
Last edited by a moderator:
Mkuu heshima Kwako

Ushauri wa Ludo ulikuwa ni as if Kamanda Mtoi (RIP) ndio hatari kwa Chama na asiachiwe awe alone na Mbowe aka Dr Slaa
Sasa hapa nani angedhurika kwa ushauri huu,Mtoi ama Mbowe /Slaa ?
Tulitaka CHADEMA baada ya hapo waanze kumlinda Mtoi ?
Mkuu Mtoi ametutoka katika kipindi ambacho Chama na wapenda Mabadiliko wanamhitaji kuliko kipindi Chochote
Mtoi ataendelea kubaki kuwa Symbol na Icon ya Mabadiliko katika Mkoa wa Tanga,CCM walikuwa wanamhara sana huyu Jamaa.
Mungu amlaze Mahala pema Peponi

Mkuu labda hukunielewa, nilikuwa namaanisha Ushauri wa Akina Pasco na wengine kwamba Mtoi aongezewe ulinzi... Na sio ushauri huu wa mtoa mada
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom