CHADEMA ilipotosha umma taarifa ya Membe?

Nimepata sononeko ndugu zanguni.Nimekuwa nikufuatilia kwa makini threads na comments humu ndani, nimegundua kuna kaubaguzi humu ndani. Nasema kweli daima, uongo kwangu mwiko. Sijui ni kwa kutumia vigezo gani lakini baadhi ya comments zimekuwa zikifutwa bila sababu ya msingi.
Mathalani, jana katika thread inayosema Slaa na Kauli Tata, zimefutwa comments nyingi sana zikiwemo zangu kadhaa ambamo sijatumia lugha ya matusi wala kashfa. Halafu zimeachwa za wengine zenye lugha isiyo na staha kabisa sasa hapa ndiyo nashangaa kigezo ni nini? Au kwa kuwa anaongelewa SLAA au Mbowe?
Majuzi tena, nilianzisha thread iliyolaani baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuudhalilisha wimbo wa Taifa, few minutes later nashangaa eti imeunganishwa na thread ya mwaka jana sijui juzi inayosema Wimbo wa Taifa ufanyiwe marekebisho! Hivi ni vitu viwili tofauti. Kuufanyia marekebisho wimbo ni jambo moja, na kuudhalilisha wimbo wa Taifa ni lingine kabisa. Isitoshe hilo la marekebisho lilikuwa la mwaka juzi. Na leo kuhusu ya Membe.
Swali langu ni kwamba,, hivi humu ndani ukiigusa CHADEMA basi posts zako zinafutwa na kuunganishwa hovyo hovyo na zingine hata kama haziwiani? Hata kamahii FORUM ni ya CHADEMA, Chama kinachohubiri demokrasia,, basi Demokrasia hii ianzie humu. Tupeni demokrasia ya kutoa maoni pasina kuyafuta.

Kilio kama chako kimeshazoeleka humu. Kwa maneno mengine hujaleta tenzi mpya!
 
Barua nyingine kamwandikia rais wa France na PM wa UK wao kawachimba beat anasema watume majeshi wakione cha moto. Anajua kweli ku divide and rule. I hope Obama atalegezwa na maneno hayo matamu. I don't like war. I did not know that Obama and Ghadafi are friends au anatumia udini kumpoza.
Obama anaogopa kwasababu Reverand Wright pamoja na Louis Farakkan walienda kumtembelea Gaddafi huko Libya miaka ya 80,na foundations ya Gaddafi ilishawahi kusadiiwa na serikali ya Obama $ 400,000,pagumu hapo maana Obama anajiandaa kwa uchaguzi.
 
Uzushi? Kwani kikwete alishinda kwa kura zipi? Mbona mawakala wa vyama na waangalizi hawakuruhusiwa wakati wa kujumlisha kura kitaifa (rejea ripoti ya waangalizi wa EU), pia jiulize kwa nini ilitungwa sheria ya kutopinga matokeo kortini, maana kura bandia walizozizoea zingechambuliwa na uhuni wao kubainika.

Huu ni utani sasa, mbona swali na majibu havifanani hapa?
 
Kilio kama chako kimeshazoeleka humu. Kwa maneno mengine hujaleta tenzi mpya!

quote_icon.png
Originally Posted by Invisible
Si mchezo.
Poleni sana, hao mods waonevu sana. Hata hii yangu huenda wakaifuta. Uonevu tu
------------------------------------------------------------------------------------

Uncle Rukus wrote,,




Nilitegemea ukiwa kama kiongozi wa forum hii uje na majibu ya kujitosheleza kwa malalamiko members wanayo yatoa, ila badala yake na wewe umekuja na kejeli kwa member duh! kweli hii nchi hattakaa tupate viongozi waadilifu kamwe, uongozi unaanzia nyumbani kwako siyo serikalini tu. hivyo msimuhukumu JK kwa mambo yake anayo yafanya.
________________________________________________________________

Ni hayo tu kaka,, janja yenu ishajulikana ya kufuta posting pale mnapobanwa. Ni vyema demokrasia mnayoihubiri ianze na nyie wenyewe,, ama sivyo hapatakuwa na tija kulaumu wengine ilhali nanyi mnayafanya hayohayo.
 
nimegundua kashaga ni mtu ambae yumo humu kwa minajili flani c kujadili hoja critically bali kuanzisha habari tofauti tena zisizo maslahi cjui kupunguza kasi ya watu wanaojadili mambo creative?
 
Back
Top Bottom