Wewe jamaa una usenge mwingi sana. Bakwata ni kitengo cha CCM cha kuwaghilibu Waislam waiunge mkono kwenye udhalimu wao wa kuifisadi nchi.Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata
Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.
Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Una uhakika wamealikwa?Adui wa Waislamu ni sisi waislamu wenyewe tusitafute mchawi Mashekhee kibao wapo gerezani ulishawahi sikia Bakwata ikiwaongelea?Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata
Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.
Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Wako biz na kitimoto MOSHI!Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata
Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.
Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Mtaje huyo kiongozi kwa jina hapa.Kuna mwanasheria mmoja wa chadema alishawahi kutamka kwa bahati mbaya kuwa hapendi viongozi wa nchi waislamu eti wanaharibu nchi nikamuangalia nikasema kweli chuki ni ugonjwa mmbaya sana
Huu ujinga wa wakristu kuvaa mavazi ya kiisilamu huwa unanikera sana. Hivi umewahi kuona kiongozi wa kiisilamu amevaa msalaba au tasbihi?
Shura ya maimam?
Huko huwa watu wanaenda tu eh? Wakiwa karibu na haki na kupinga dhulma si inatosha kuwa karibu na waislam?Tulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata
Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.
Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?
Sikiliza ujumbe wa kiongozi Sheikh Ponda wa Shura ya Maimamu katika Waraka wa Eid Kwa Waislamu 2025 31 MARCH
SHEIKH PONDA ASOMA WARAKA WA EID KWA WAISLAMU, AGUSA 'NO REFORM NO ELECTION'...
View: https://m.youtube.com/watch?v=7IE51l5ndy0
Walipokuwa na Don Kitima ,msimbazi center walikuwa wanaswali msikiti wa Mtoro?Wewe uko karibu na dini gani
Nchi ya kijinga Sana hii
Ulitaka Lissu akaswali msikitini!!
chadema si chama rafiki kwa uislam hata kidogo, tazama safu yake ya kiuongozi, vita yao kubwa ni uongozi hawana diplomasia ya kijamii yaani kuishi na jamii zote Tanzania, ni chama hatari na cha kuogopa kwelikweli,wallah najiapiza hakitufai waislamu, mabaradhuli Hawa yarabh.
Ulisikia wapi??????Kwanini makanisani crismass wanashiriki na kuomba kuungwa mkono?
Imani inapokuwa mzigo mzito kuubebaTulitegemea tutaona Lissu na kundi lake baraza la eidel la liloandaliwa na Bakwata
Au baraza la eidel liloandaliwa na Shura ya imamu kupitia sheikh Ponda.
Lakini kokote hawapo. Halafu wanataka kuungwa mkono na waislam?