CHADEMA ikipewa nchi inaweza kuiendesha kweli ?

CHADEMA ikipewa nchi inaweza kuiendesha kweli ?

05CUBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2025
Posts
1,106
Reaction score
1,643
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

Swali: Je, Chadema akipewa taifa la Tanzania leo anaweza kuliongoza?

CHADEMA wana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
CHADEMA wana watu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
CHADEMA wataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM tukiwa tumewapumzisha ???

Au Serikali mseto haikwepeki viongozi?
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
wapewe kwanza kuendesha bodaboda walau kwa mwaka moja tu, ili tuone wanaweza kuziendesha?

kuongoza nchi hakujaribiwi gentleman 🐒
 
Wewe nawe fyatu kweli, mambo ya kuendesha nchi unamuuliza katibu wa tawi!?

Nchi sasa ipo chini ya sisiem lakini nenda kwa katibu mwenezi wa tawi wa chama chako hicho kamwambie akuandikie jina lake tu uone maajabu, achilia mbali uendeshaji hata wa kijiji
 
Chama ni watu,
CDM akipewa nchi ,watu weeeeeengi wa CCM watahamia CDM
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Itaweza chama kinahazina ya wasomi wengi sana unaoqaona ni wanasiasa na wengine hawasimami jukwaani.lakini pia Nchi itaendeshwa na watu mbalimbali wenye uwezo hapo bila kujali chama.kuhusu chanzo cha mapato kuendesha Nchi utaratibu mzuri wa ukusanyaji kodi na raslimali za taifa utawekwa.
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Inaonekana wewe hujui hata serikali ni nini. Tena CDM ikiendesha serikali ndani ya muda mfupi nchi itapata maendeleo makubwa kuliko upuuzi wa ccm unaoitwa maendeleo.
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Baraza la sasa la sasa la mawaziri elites ni kina nani??
Kabudi, Mpango, Mulamula, Muhongo na Bashiru walitokea wapi kabla ya kuwa mawaziri??
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Bi Ushungi aendeshe halafu Lissu ashindwe??
LLM ya kweli ashindwe halafu huyo Ambaye hata Bachelor hana duuuuuuuuuuuuu

Taasisi atakayo unda LLM Esq, iwe sawa au chini ya PhD fake?
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Nchi inaongozwa na mtu aliyesoma kutunza kumbukumbu na inaenda ije kuwa CHADEMA.
 
wapewe kwanza bodaboda walau kwa mwaka moja tu, ili tuone wanaweza kuziendesha?

kuongoza nchi haujaribiwi gentleman 🐒
Kweli kuandika ni kujua kuandika na kusoma; division yako zero inafanya kazi. Maana content unazoandika zina-define mtu. Yaani usiwe unaandika, Human Quality za CCM zinatia aibu
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Chama kinaongozwa na wajinga kama Lema na grnge lake ndio wapewe nchi?wakati mwingine mjaribu kuw aserious aisee?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Kama Samia kaweza watashindwaje CHADEMA kuendesha nchi ya Watanganyika!!
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
wewe ndo hauelewi kabisa. Kwa hiyo wewe unaona CCM imeweza kuendesha nchi? CCM ndo imeshindwa hasa hata baada ya kupewa miaka 60 haina speed ya maendeleo inayotakiwa
 
Narudia alichosema chamakh
Wewe ndiwe huna akili
Unadhani Serikali ni Viongozi wa CCM
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Kwani watu woote walioko Serikalini ni CCM imewazaa,??? Mbona nchi ina watu wa hovyo namna hii???
 
Kuna ndugu hapa ni mwana Chadema mzuri Sana na ni mwenezi wa TAWI. nimekaa nae nikamwuliza hili swali Ila amefeli kabisa kunipa hoja akaanza kunitolea maneno ya dhihaka badala ya kujibu swali.

Binafsi sababu nnashida na majib kwa uthabiti nimeona nilete swali lang hapa JF.

SWALI: JE CHADEMA AKIPEWA TAIFA LA TANZANIA LEO ANAWEZA KULIONGOZA ??

#ana elites wa kutosha kusimama katika Baraza la mawaziri ?
#Anawatu wa kutosha kusimama mikoa na wilaya ?
# ataweza vipi kupata watu wa kufaa kuunda na kusimama sera katika idata za mahakama, Bunge na serikali kuu in general Huku wale Wana CCM Tukiwa tumewapumzisha ???

AU SERIKALI MSETO HAIKWEPEKI VIONGOZI ?
Kama ccm wameweza hata TLP wanaweza endesha acha cdm. Wewe huoni samia ni rahis?
 
Back
Top Bottom