Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,302
Ndioa nawaza hivyoYanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Ndioa nawaza hivyoYanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
2030s mark my word maiti zote zilizolala zitaamka na kuandamana simple has thatSio kwa WATANZIA sisi, sisi ni maiti zitembeazo.
Km unafikiri demokrasia ni kichaka cha kufanya uhalifu mmestukiwa hamuwezi tena kujificha humo mtafunuliwa, mtashughulikiwa ipasavyo. Chadema itajifuta yenyewe kwa kukiuka masharti ya usajili. Kitafutwa hakuna kima atatoa ht pua mtabaki kuandamana humu mitandaoniYanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Hakuna atakayejaribu hao ni nyumbu tuNi mjinga tu ataandamana.
We uko Tanzania?Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
lazima kielewekeKweli kabisa lazima tukinukisheView attachment 3363542
We utakuwa sehemu ya hizo maiti?2030s mark my word maiti zote zilizolala zitaamka na kuandamana simple has that
sijakataa mimi sio maiti .mimi ni maiti ila nipo na NRNE sasa wewe na mtoa post ndo nimewatabiria .We
We utakuwa sehemu ya hizo maiti?
Tupo mtaani nyie bado mpo kwenye keyboard zenu ,,,yaaniYanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Kwanini msiandamane sasa hivi wakati ndio kinaelekea KUFUTWA? Au ndio unashauri wengine waandamane?Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Labda huko 2030.2030s mark my word maiti zote zilizolala zitaamka na kuandamana simple has that
Mpumbavu we, utaandamana wewe na mumeo!Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Hatari sana hii mkuuPale wenyeji wanapo wakandamiza wenzao ili mgeni aendelee kula vizuri mali zao na familia yake
Wakati huu chama hakijafutwa mmeshindwa kuandamana, kikifutwa ndo muweze kuandamana kweli?Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Mawazo ya kingese sana hayaKaanze kuwachukua wazaz wako kjjn nani huyo anakuwa na control ya watu wote tz zaidi ya muumba ss sote sio chadema walansio ccm cha msingi every one apambane na anapona anafaida napo cause hata wakiongia chadema sio wote watafaidika kama ilivo kwa ccm hawafaifiki wote