Chadema ikifutwa nashauri tuandamane nchi nzima

Chadema ikifutwa nashauri tuandamane nchi nzima

Kusanya familia yako uandamane nayo
 
1749594294992.png
 
CCM wenyewe sidhani kama wana munkari wa uchaguzi mwaka huu, ngoja Bunge livunjwe tuone mwelekeo.
Kama haitatokea safari hii huko CCM; basi haitatokea tena hadi chama hicho kisambaratike chenyewe.

Naamini kuna kitu kitatokea CCM.
 
Sitaki kuamini kuwa hizi ni comment za watanzania wale wale waliochafua manoo noo hadi bafuni+chooni..
secretarybird uliyejichora tattoo sijui wapi huku, njoo uone wanachocommen nduguzo!
Hata mshangazi wako@Binti wa zamani yeye kazi yake ni kuprovide kila comment..
HECHEEE! MURA WAITO TAIKALHA UKIRHEE
Hahaha 🤣😂, Mkuu usinivunje mbavu.
 
Nimeanza kuratibu vijana 5,000 kutoka katika kila wilaya kwaajili ya hili, hatutakubali Iddi Amin Mama afanye atakalo tu.
 
Km unafikiri demokrasia ni kichaka cha kufanya uhalifu mmestukiwa hamuwezi tena kujificha humo mtafunuliwa, mtashughulikiwa ipasavyo. Chadema itajifuta yenyewe kwa kukiuka masharti ya usajili. Kitafutwa hakuna kima atatoa ht pua mtabaki kuandamana humu mitandaoni
Wewe askali polisi hohehahe unamtisha nani? Bosi wenu Wambura anaogelea utajiri wa mabilioni wakati ninyi mnalipwa mishahara kama MALAYA wa sinza. STUPID
 
No Reforms No Election si kauli ya kupinga uchaguzi kwa utashi wa kisiasa bali ni wito wa haki na demokrasia ya kweli. Tunadai marekebisho ya msingi katika mfumo wa uchaguzi ili kuhakikisha kila kura ina thamani, na matokeo yanayoakisi sauti ya wananchi

#NoReformsNoElection
 
No Reforms No Election si kauli ya kupinga uchaguzi kwa utashi wa kisiasa bali ni wito wa haki na demokrasia ya kweli. Tunadai marekebisho ya msingi katika mfumo wa uchaguzi ili kuhakikisha kila kura ina thamani, na matokeo yanayoakisi sauti ya wananchi

#NoReformsNoElection
 
Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Na kuna kila sababu inayoonyesha waarabu wamemwambia Familiarize nchi, tutakusaidia ili wale. Siyo sustainable kwa Tanganyika labda Zanzibar
 
Hapo pa kuandamana utaandamana mwenyewe. Hii nchi ni keyboard warriors tu hamna mtu anatoka nje kupambania ugali wa mtu mwingine.
Dada kalee mchepuko wako huu mziki haukuhusu
 
Yanayoendelea ni dhahiri kua Samia hataki Democracy anachotaka ni kuendesha nchi kama familia analotaka liwe !! Hatuezi kwenda hivi
Msg ya jana ya Igunga ilifika penyewe. Uzuri vijana sasa hivi wapo makundi ya bpda . Kushawishika ni rahisi sana.
 
Back
Top Bottom