CHADEMA Iitishe Maandamano dhidi ya Jeshi la Polisi?

Chama, Mwangos ni mwandishi wa habari. Kazi ya uandishi wa habari pamoja na nyingine ni kuripoti matukio. Narudia ni kuripoti matukio. Kwa maana hiyo Mwangos akiwa mwananchi mwajiriwa alikuwepo kazini kama mtumishi mwingine akitafuta mkate wa siku kwa njia halali kama mtu mwingine.
Hakukuwa na kosa yeye kuwepo katika 'mkusanyiko' usio halali kwasababu kazi yake ni kuelezea umma kuhusu kukosekana kwa uhalali wa mkutano nani amefanya nini n.k.
Kusema angekaa nyumbani yasingemkuta nadhani ni kumdhalilisha na kuudhalilisha utu wa mwadamu kiwango dah..

Ukiangalia picha, hivi Chama unaweza kuamini kuwa Polisi sita wenye silaha wameshindwa kumdhibiti Mwangos na kumfungulia mashtaka hadi wamuue kwa kitu cha namna ile!

Mkuu Nguruvi3
Labda nikuulize Mwangoso (R.I.P) alikuwa pale kama kamanda na mwanaharakati au kama mwandishi wa habari? Ukinijibu ndio nitakupa majibu majibu yako

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mwanakijiji
Kabla ya kulaumu tunaangalia cause and effect kama usingevuta bangi usingebaka, kama usingelewa usingepata ajali hivyo ndiyo vitu tunavyoangalia!

Chama
Gongo la mboto DSM

basi ungeenda nyuma kidogo; kama serikali isingekataza mikusanyiko ya kisiasa kina Slaa wasingekataa kutii!
 
basi ungeenda nyuma kidogo; kama serikali isingekataza mikusanyiko ya kisiasa kina Slaa wasingekataa kutii!

Serikali ilishatatoa maelezo ya kina kutekeleza au kutotekeleza AMRI HALALI ya serikali hilo likuwa ni jukumu la Dr. Slaa; kwa mantiki hiyo serikali haina lawama zozote kubeba; Dr. Slaa aliamua kuwabebesha wenzake mzigo wa bangi yeye ndiye anayepaswa kulaumiwa.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Chama kwanini unapenda kukwepa kujibu hoja umeulizwa kulikuwa na haja gani ya polisi kutumia nguvu kubwa kiasi hicho kwa mwandishi aliyekuwa Hana silaha?

Mkuu Precise Pangolin
Si kuwapo lakini nina uhakika makamanda walikuwa wakali polisi hawatumii nguvu kama hakuna sababu; na bado najiuliza kama polisi alikusudia kumuua ukizingatia walikuwa kundi inawezekana ni malfunction ya silaha yenyewe; siwezi kuona ajabu silaha ya mchina kumalfunction ni jambo la kwaida

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Nguruvi3
Labda nikuulize Mwangoso (R.I.P) alikuwa pale kama kamanda na mwanaharakati au kama mwandishi wa habari? Ukinijibu ndio nitakupa majibu majibu yako
Chama Gongo la mboto DSM
Hayati Mwangos alikuwa mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari Iringa. Maana yake ni kuwa alikuwa mwandishi halafu akapewa jukumu lingine la uenyekiti.
Taarifa zilizopo ni kuwa alikuwa anahoji kwanini mwandishi wa Nipashe alishikiliwa na Polisi. Kwa maana nyingine alikuwa anahoji kwanini mwandishi mwenzake ameshikiliwa, kama mwandishi na kama mwenyekiti wa chama cha Waandishi.
Picha zinaonyesha akiwa na kamera kama kifaa chake cha kazi.

Swali langu ni je, askari sita walio na silaha walishindwa kumdhibiti Mwangos? Na kama walishindwa kwa nguvu je utaratibu wa Polisi unasemaje kuhusu matumizi ya silaha za moto. Na je, kifaa kilichotumika unaamini ni risasi au kitu kingine.
 
Hakuna utawala uliokuwa mgumu kuanguka lakini mwisho wa siku zikaanguka: misri, libya, south afrika n.k sembuse utawala wa mafala wa nyinyiemu? Huu upumbavu wao ipo siku watajutia. I HATE CCM AND HIS FOLLOWERS, natamani niingie msituni kutafuta haki kwa mtutu kwani wakati umeshawadia rasmi wa kukataa kuonewa na hawa polccm ambao hata elimu zao za kubahatisha.

Ushujaa usiishie kwenye mtandao tu nilishasema baada ya tukio la Morogoro tunataka shujaa mwingine atokee ndani ya JF lakini kama kawaida yenu mnachombeza mkiwa kwenye web wanaoumia ni wengine; hivi wewe huoni fahari vizazi vijavyo vikiwa vikuangalia kwenye documentary na sisi tupate bahati kumzika shujaa wa kweli? kwa jinsi ulivyo mnafiki leo usingizi utaupata na uchi utakusimama umlale mkeo na huyo Dr. wako kadhalika ni kama wewe tu lakini wenye machungu ya kweli hivi sasa hali zao ni Mungu tu ndiye anayejua!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Precise Pangolin
Si kuwapo lakini nina uhakika makamanda walikuwa wakali polisi hawatumii nguvu kama hakuna sababu; na bado najiuliza kama polisi alikusudia kumuua ukizingatia walikuwa kundi inawezekana ni malfunction ya silaha yenyewe; siwezi kuona ajabu silaha ya mchina kumalfunction ni jambo la kwaida

Chama
Gongo la mboto DSM

Unatumia nguvu kubwa kujaribu ku justify act ya police,their move is unjustifiable completely!
 
Hayati Mwangos alikuwa mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari Iringa. Maana yake ni kuwa alikuwa mwandishi halafu akapewa jukumu lingine la uenyekiti.
Taarifa zilizopo ni kuwa alikuwa anahoji kwanini mwandishi wa Nipashe alishikiliwa na Polisi. Kwa maana nyingine alikuwa anahoji kwanini mwandishi mwenzake ameshikiliwa, kama mwandishi na kama mwenyekiti wa chama cha Waandishi.
Picha zinaonyesha akiwa na kamera kama kifaa chake cha kazi.

Swali langu ni je, askari sita walio na silaha walishindwa kumdhibiti Mwangos? Na kama walishindwa kwa nguvu je utaratibu wa Polisi unasemaje kuhusu matumizi ya silaha za moto. Na je, kifaa kilichotumika unaamini ni risasi au kitu kingine.
Mkuu Nguruvi3
Marehemu alikuwa anaishi Iringa mjini au Mufindi? Kuwa ni kifaa cha kazi hakualalishi kujumuika kwenye mkusanyiko uliokatazwa, Kama suala lilikuwa ni kuhoji mwandishi aliyekamatwa hiyo haikuwa kazi yake na wala pale hapakuwa mahali muafaka kutafuta majibu maswali yake; Polisi walitoa tangazo na kama picha inavyojionyesha polisi hawakuanza kupiga fujo zote ni baada ya makamanda kukaidi amri halali; turudi kwa marehemu yeye kama mwandishi alitakiwa ajiisolate na makamanada nina uhakika na yeye alikuwa mwanaharakati; bado haniingii akilini alichanganya vipi na makamanda wakati tayari machafuko yametokea? Hivi leo usikie Mwanakijiji kavunjwa mguu kwenye M4C utasema yalimkuta kama mwanahabari au kamanda?Na bado kama lilikuwa ni suala la kuhoji mwandishi aliyekamatwa basi angeweza palepale Iringa mjini hakuwa na sababu hata moja kwenda Mufindi; halikuwa kusudio la askari mhusika kummua mambo ya mchina tena

China
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Precise Pangolin
Si kuwapo lakini nina uhakika makamanda walikuwa wakali polisi hawatumii nguvu kama hakuna sababu; na bado najiuliza kama polisi alikusudia kumuua ukizingatia walikuwa kundi inawezekana ni malfunction ya silaha yenyewe; siwezi kuona ajabu silaha ya mchina kumalfunction ni jambo la kwaida

Chama
Gongo la mboto DSM

Wow!!! OMG Wow!!! the best defense ever!! hakukusudia kumpiga silaha ilichomoka tu yenyewe. The End.
 
Hakuna utawala uliokuwa mgumu kuanguka lakini mwisho wa siku zikaanguka: misri, libya, south afrika n.k sembuse utawala wa mafala wa nyinyiemu? Huu upumbavu wao ipo siku watajutia. I HATE CCM AND HIS FOLLOWERS, natamani niingie msituni kutafuta haki kwa mtutu kwani wakati umeshawadia rasmi wa kukataa kuonewa na hawa polccm ambao hata elimu zao za kubahatisha.

Wanaharakati nyie mnataka kujifananisha wanaharakati gani?

Chama
Gongo lamboto DSM
 
Mwanakijiji
Mambo ya mchina hayo! hujawahi kusikia bunduki imemulfunction?

Chama
Gongo la mboto DSM


I never thought about it but I have to agree; this is the only defense the corrupt government can come up with. Utabisha vipi sasa wakisema hivyo? Magoli mengine bana yaani watu wanakufunga na unajua wameotea lakini ndiyo hivyo tena hakuna ushahidi kuwa wameotea!
 
Mkuu Nguruvi3
Marehemu alikuwa anaishi Iringa mjini au Mufindi? Kuwa ni kifaa cha kazi hakualalishi kujumuika kwenye mkusanyiko uliokatazwa, Kama suala lilikuwa ni kuhoji mwandishi aliyekamatwa hiyo haikuwa kazi yake na wala pale hapakuwa mahali muafaka kutafuta majibu maswali yake; Polisi walitoa tangazo na kama picha inavyojionyesha polisi hawakuanza kupiga fujo zote ni baada ya makamanda kukaidi amri halali; turudi kwa marehemu yeye kama mwandishi alitakiwa ajiisolate na makamanada nina uhakika na yeye alikuwa mwanaharakati; bado haniingii akilini alichanganya vipi na makamanda wakati tayari machafuko yametokea? Hivi leo usikie Mwanakijiji kavunjwa mguu kwenye M4C utasema yalimkuta kama mwanahabari au kamanda?Na bado kama lilikuwa ni suala la kuhoji mwandishi aliyekamatwa basi angeweza palepale Iringa mjini hakuwa na sababu hata moja kwenda Mufindi; halikuwa kusudio la askari mhusika kummua mambo ya mchina tena
China Gongo la mboto DSM
Chama, iwe anakaa Mufundi, Njombe au Iringa hiyo bado haimuondolei haki yake ya uandishi wa habari. Nadhani nimeeleza kwa kina kuhusu uandishi wake na nafasi yake katika taaluma hiyo.

Kwa ajili ya majadiliano haya, let us assume that Mwangos(R.IP) hakupaswa kuhoji kukamatwa kwa mwezanke wa Nipashe hapo na pia alikuwa katika ''mkusanyiko'' usio halali.

Maswali yangu ambayo hujayajibu ni kuwa, Polisi sita walishindwa kumdhibiti ili kumfungulia mashataka mengine likiwemo la kuwa kukaidi AMRI HALALI na kushiriki mkusanyiko usio halali?

Pili, kama walishindwa kwasababu ya 'nguvu' nyingi sana za marehemu, utaratibu wa jeshi la Polisi unasemaje kuhusu matumizi ya silaha ya moto?

Na mwisho, je unaamini kuwa kilichotumika ni risasi au kitu kingine.
Hapo ndipo nilipo.
 
I never thought about it but I have to agree; this is the only defense the corrupt government can come up with. Utabisha vipi sasa wakisema hivyo? Magoli mengine bana yaani watu wanakufunga na unajua wameotea lakini ndiyo hivyo tena hakuna ushahidi kuwa wameotea!

Mwanakajiji
It is what it is there is nothing we can do to reverse the cause; only thing we can do is to pray for his family; but before we start pointing finger to one another let think the real cause; I feel so sad to see this happened just because of one politician could not use his brain to make a decent decision. May almighty God rest his soul in eternal peace. Amen

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Chama, iwe anakaa Mufundi, Njombe au Iringa hiyo bado haimuondolei haki yake ya uandishi wa habari. Nadhani nimeeleza kwa kina kuhusu uandishi wake na nafasi yake katika taaluma hiyo.

Kwa ajili ya majadiliano haya, let us assume that Mwangos(R.IP) hakupaswa kuhoji kukamatwa kwa mwezanke wa Nipashe hapo na pia alikuwa katika ''mkusanyiko'' usio halali.

Maswali yangu ambayo hujayajibu ni kuwa, Polisi sita walishindwa kumdhibiti ili kumfungulia mashataka mengine likiwemo la kuwa kukaidi AMRI HALALI na kushiriki mkusanyiko usio halali?

Pili, kama walishindwa kwasababu ya 'nguvu' nyingi sana za marehemu, utaratibu wa jeshi la Polisi unasemaje kuhusu matumizi ya silaha ya moto?

Na mwisho, je unaamini kuwa kilichotumika ni risasi au kitu kingine.
Hapo ndipo nilipo.

Nguruvi3
Marehemu alikuwa pale kama kamanda hili la uandishi wa habari litoe kwenye ajenda; umbali wa Mufindi Iringa wote tunaujua sio kama Ilala Temeke, kama suala ni kuhoji majibu angeyapata Polisi Iringa, tatizo kubwa ni waandishi wengi mmjejitia kwenye ukamanda mmesahau kabisa kutekeleza majukumu yenu kama waandishi wa habari; ikiwa kama mwandishi wa Nipashe alikamatwa kwenye tukio yeye ilimchukua muda gani kusafiri kutoka Iringa hadi Mufindi? Na kama suala lilikuwa kuhoji si kwenye eneo ambalo hali ya usalama imekuwa tete, yeye ilikuwa ni kuweka wanasheria tu kumwekea dhamana mhusika, nina uhakika kwenye taaluma ya uandishi mnafundishwa namna ya kuepuka maafa hasa kulinda usalama wenu, ilikuwaje alishindwa kufuata yote hayo? Tunarudi palepale mnajisahau kwa jazba za kisiasa ; nina uhakika kilichomuua marehemu (R.I.P) si risasi nadhani ni bomu la mchozi ambalo limemlipukia kwa karibu sana

Chama
Gongo la mbot DSM
 
Nguruvi3
Marehemu alikuwa pale kama kamanda hili la uandishi wa habari litoe kwenye ajenda; umbali wa Mufindi Iringa wote tunaujua sio kama Ilala Temeke, kama suala ni kuhoji majibu angeyapata Polisi Iringa, tatizo kubwa ni waandishi wengi mmjejitia kwenye ukamanda mmesahau kabisa kutekeleza majukumu yenu kama waandishi wa habari; ikiwa kama mwandishi wa Nipashe alikamatwa kwenye tukio yeye ilimchukua muda gani kusafiri kutoka Iringa hadi Mufindi? Na kama suala lilikuwa kuhoji si kwenye eneo ambalo hali ya usalama imekuwa tete, yeye ilikuwa ni kuweka wanasheria tu kumwekea dhamana mhusika, nina uhakika kwenye taaluma ya uandishi mnafundishwa namna ya kuepuka maafa hasa kulinda usalama wenu, ilikuwaje alishindwa kufuata yote hayo? Tunarudi palepale mnajisahau kwa jazba za kisiasa ; nina uhakika kilichomuua marehemu (R.I.P) si risasi nadhani ni bomu la mchozi ambalo limemlipukia kwa karibu sana
Chama Gongo la mbot DSM
Chama, waandishi wa habari wanasafiri kutoka Marekani, China na kwingineko kwenda mahali penye matukio.

Tufanye assumption nyingine kuwa Mwangos hakuwa mwandishi na alikuwa mwanaharakati kayika 'mkusanyiko usio halali na hakutii Amri halali kama unavyosema. The assumption is done.

Maswali ni je, Polisi sita waliokuwa na silaha walishindwa kumdhibiti Mwangos?
Na kama walishindwa je utaratibu wa Polisi kuhusu matumizi ya silaha za moto unasemaje.
Na je, wewe unasemaje kuhusu kifaa kilichotumika! ni risasi au kitu kingine.

Mkuu Chama hakuna jazba mbona tunawasiliana vizuri tu. Tatizo ni pale unapofanya elimination na mimi naziondoa, kwa bahati nzuri au mbaya maswali muhimu huyajibu. Ni hayo hapo juu tu.
 
Mwanakijiji ,
Hili tukio limenigusa sana, na nasikitika sana nitaendelea kuhoji busara za Dr. Slaa; naamini labda mh. Mbowe kama angekuwako upuuzi huu usingetokea, ni jana tu nimesilikiza alivyoogea kihekima kama mwanasiasa aliyekomaa; Dr. Slaa hana busara za kiongozi; wewe utasema sema lakini ukweli utabakia palepale; tatizo sio Chadema tatizo ni Dr. Slaa anayetaka madaraka kwa nguvu zote; ni nani aliyewashikiniza wanachama kufungua tawi tena kwa makeke? Lilikuwa na ulazima gani? Kama Mwangosi angeuliwa ofisini au nyumbani kwake hapo lingekuwa shauri lingine silaumu polisi hata kama Mwangosi angekuwa baba yangu; ningeumia kwa kumpoteza baba na si vinginevyo NYUMBA YA KAMANDA WA VITA HAINA MATANGA WALA MSIBA, huyu mpumbavu Dr. Slaa kama angekuwa na mwanaharakati wa angekuwepo kwenye tukio yeye anachofanya ni kuchochea moto kwa simu akiwa hotelini, utamtetea sana Dr. Slaa labda kwa sababu mnaishi kwa posho ukweli hekima hana. I am sorry if I offended anyone but I am looking deep into cause and effect!

Chama
Gongo la mbotoDSM

Kijana mbona slaa anakuuma sana? Alikuahidi nini? Yupo na josephine sasa.
 
Back
Top Bottom